LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 11,788
- 15,404
Ccm bila kubebwa Na tume hali ingekuwa mbaya sana Mwaka huu.
CDM NI CHAMA PENDWA,KAMA NI MSALITI HAMA KABLA HUJAFUKUZWAWatanzania wanajua kuwa mtetezi wao ni CDM. Wanajua kwa vyama vingine ni washirika wa CCM, ni vibaraka. Wanajua hili tena sana maana wameumia miaka hii mitano. Kila mmoja ameguswa na mateso ya awamu hii kwa namna moja au nyingine, na aliyetoa kauli ya kuwatetea ni CDM.
Kuweni imara, kaza buti , anzisha wave nyingine ya CDM ni msingi , wastue wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
na hii yote imesababishwa na ushamba wa viongozi wa ccm wa awamu ya 5Watanzania wanajua kuwa mtetezi wao ni CDM. Wanajua kwa vyama vingine ni washirika wa CCM, ni vibaraka. Wanajua hili tena sana maana wameumia miaka hii mitano. Kila mmoja ameguswa na mateso ya awamu hii kwa namna moja au nyingine, na aliyetoa kauli ya kuwatetea ni CDM.
Kuweni imara, kaza buti , anzisha wave nyingine ya CDM ni msingi , wastue wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
na hii yote imesababishwa na ushamba wa viongozi wa ccm wa awamu ya 5
Mchezo bila rafu wala chenga ulishasikia wapi mpiga kura wa chadema amehama.Hahaha mwaka huu maji mtayaita mma
October mtabaki km kuku aliyemwagiwa maji
Mchezo bila rafu wala chenga ulishasikia wapi mpiga kura wa chadema amehama.
Huzi wanzuki muache kuzitumia sasa...Mwaka huu ni kuimwaga ccm na pombe yake jalalani chatto...
Wa kwanza!Hahaha mwaka huu maji mtayaita mma
October mtabaki km kuku aliyemwagiwa maji
Upinzani upo ndugu kwa watu.ilivyoaribiwa Nccr ya Mrema. Vipande vipande hivyo ndo vikaizaa CDM.Achaeni kudanganya watu. Kila mtu anajua kuwa chadema sasa hivi imebaki vipande vipande. Imesambaratika. Sasa itakuwaje ibaki imara ili hali imebakk vipande vipande tu?