Chedema bado imara msibabaishwe na akina hamahama

Chedema bado imara msibabaishwe na akina hamahama

Watanzania wanajua kuwa mtetezi wao ni CDM. Wanajua kwa vyama vingine ni washirika wa CCM, ni vibaraka. Wanajua hili tena sana maana wameumia miaka hii mitano. Kila mmoja ameguswa na mateso ya awamu hii kwa namna moja au nyingine, na aliyetoa kauli ya kuwatetea ni CDM.
Kuweni imara, kaza buti , anzisha wave nyingine ya CDM ni msingi , wastue wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
CDM NI CHAMA PENDWA,KAMA NI MSALITI HAMA KABLA HUJAFUKUZWA
 
Watanzania wanajua kuwa mtetezi wao ni CDM. Wanajua kwa vyama vingine ni washirika wa CCM, ni vibaraka. Wanajua hili tena sana maana wameumia miaka hii mitano. Kila mmoja ameguswa na mateso ya awamu hii kwa namna moja au nyingine, na aliyetoa kauli ya kuwatetea ni CDM.
Kuweni imara, kaza buti , anzisha wave nyingine ya CDM ni msingi , wastue wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
na hii yote imesababishwa na ushamba wa viongozi wa ccm wa awamu ya 5
 
Achaeni kudanganya watu. Kila mtu anajua kuwa chadema sasa hivi imebaki vipande vipande. Imesambaratika. Sasa itakuwaje ibaki imara ili hali imebakk vipande vipande tu?
 
Sina shaka na uimara wa cdm, uzuri uimara wa cdm upo katika mioyo yetu sisi washabiki na wanachama wake, na uzuri tunajua fika kuwa kinachoendelea hivi sasa ni siasa chafu na matumizi mabaya ya madaraka ya urais, kupitia mwenyekiti wa ccm. Tuna uwezo mkubwa wa kujua hali iliyopo na tunajua tu ni suala la muda. Uzuri ni kuwa siasa chafu huwa hazidumu, na huwa zina mwisho mbaya, kwa cdm hiki ni kipindi sahihi cha kupanga safu yake vizuri.
 
Chadema ni kama mbwakoko kila anapoenda watu hawamtaki"iloooo,,,iloooo jibwa koko iloooo"
 
Achaeni kudanganya watu. Kila mtu anajua kuwa chadema sasa hivi imebaki vipande vipande. Imesambaratika. Sasa itakuwaje ibaki imara ili hali imebakk vipande vipande tu?
Upinzani upo ndugu kwa watu.ilivyoaribiwa Nccr ya Mrema. Vipande vipande hivyo ndo vikaizaa CDM.
 
Back
Top Bottom