mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
- Thread starter
- #21
Basi chadema ndio fakizii kabisa
Ukiona bidhaa inapigiwa upatu kupita kiasi jua feki
Ukiona bidhaa inapigiwa upatu kupita kiasi jua feki
Nenda uone wenye vitunguu wanavyokula loss hapo kuingia kenya.hatukukatazi kumpongeza mtu ila unaandika mada na unaongea kinyume cha hali halisi
Tena sana naonaWauza vitunguu wamekula lose sababu imekua gafla na mzigo ulikua tayar kwenye magar Ila nikuibie sir vitunguu now vinalipa vibaya
Nani inapigiwa debe hati ya cdm na jpm hats kwa mambo UA kitoto na kijinga??Basi chadema ndio fakizii kabisa