PCCB ni tawi la ccmPCCB wako busy na umbea wa Lijualikali.
Hili linakaribia kama na kweli vile.mimi niliishaiacha hiyo bank kwa suala la mikopo.yaani unapunguza mkopo wako halifu mzigo wa marejesho unaachiwa mwenyewe.NMB ni bank inayoongoza kwa rushwa ya mikopo, yaani afisa mikopo wanataka uwape rushwa ili wa process mkopo wako, yaani ni bank ya ovyo kabisa.
Aisee . . . . nimekata tamaa maana nilikuwa na mpango wa kuliamsha NMB nikasake mkopo mkubwa ila kwa tuhuma hizi waje wajisafishe kwanza maana nitabadili mawazo haraka sanaNMB ni bank inayoongoza kwa rushwa ya mikopo, yaani afisa mikopo wanataka uwape rushwa ili wa process mkopo wako, yaani ni bank ya ovyo kabisa.
KAMA NASHAWISHIKA HIVI! NDUNGU YANGU KAOMBA SALARIED WORKERS LOAN TAWI LA NMB BANK HOUSE DAR ES SALAAM WIKI MBILI ZINAKATIKA SASA, NA NI MFANYAKAZI WA SERIKALI. ALIAMBIWA AKIKAMILISHA TARATIBU ZOTE, NDANI YA SAA 24 MKOPO UNATOKA. MPAKA MUDA WA KUANDIKA HAPA HAJAPATA CHOCHOTE.NMB ni benki inayoongoza kwa rushwa ya mikopo, yaani afisa mikopo wanataka uwape rushwa ili wa process mkopo wako.
Yaani ni benki ya ovyo kabisa.