Mheshimiwa pole sana na majukumu ya kujenga nchi katika Wilaya ya Hai kwa kujipambanua kwa vitendo kuwatetea wananchi wanyonge katika wilaya yako unayoisimamia bila ubaguzi wa aina yoyote.
Hivi karibuni niliona ulipotembelea kiwanda cha mtu binafsi na kumtumbua mtu mmoja ambaye amekuwa akifanya...
Tukumbuke asilimia kubwa ya watanzania kwa sasa ni vijana ambao wengi wao wapo mijini wakipambana na maisha katika sekta isiyo rasmi...hapana shaka yoyote kujitumbukiza kwao katika makundi ya kisiasa ama maandamano ni sehemu yahoo ya kupumua na kupunguza hasira zao...
Kimsingi mwanamke hufika kileleni na hapigi bao kama muungwana alivyojinadi.
Kinachotokea mwanamke hutokwa na ute mweupe ambao hubadilika kuwa kama ukoko wengi wanaitaga 'uyugu'... Hii hutokea pale mtoto wa kike anapokaa muda zaidi ya miezi minne mfululizo bila kujamiiana!
Takriban ni miaka mitatu sasa hawa jamaa hawajatangaza vima vya chini kisekta kwa makampuni binafsi.
Swali rahisi tu wanawaza nini?...hapa napo kuna jipu!!
Nshangaa kwa nini hata wale waarabu waliofutiwa leseni na Bunge letu tukufu wakiendelea kubebwa huku kila kitu kilikuwa wazi kuhusu uwindaji usiozingatia weledi.
Leo mapori ya kizigo na mengineyo yanakimbiwa na wawekezaji mara baada ya kukosa wanyama muhimu, wawekezaji korofi wanataka kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.