Recent content by Kambi ya kaboya

  1. Kambi ya kaboya

    Somo Jingine Kutokana na Mauaji ya Rwanda, 1994: Mapanga, Majambia na Marungu, ni Silaha za Kivita Zilizo Mbadala wa Bunduki, Mabomu na Vifaru

    Andiko limesheheni madini mazuri sana kila mhusika ameshauriwa vzr sana na marejeo ya matukio yametolewa, kumeshuhudiwa matukio ya ajabu na matamshi ya hovyo ktk miaka ya hivi karibuni kutoka kwa watalawa, na wenye mamlaka hakika si mazuri kwa ustawi wa utanzania wetu. Vyombo vya ulinzi na...
  2. Kambi ya kaboya

    Dkt. Bashiru, usomapo andiko hili mara moja hapo Msibani kwa Ndugai, chukua hatua mara moja za kulinda uhai wako

    Mshana, Mshana, Mshana. Nimekuita mara tatu ndugu yangu hii video yako hii kweli wengi tumeiona ila tumeamua kukaa kimya maana mmmmmhhhhhh
  3. Kambi ya kaboya

    Nataka kuagiza VW Touareg V6

    Mm namiliki mdogo wake Tuareg kwa maana ya Tiguan ya mwaka 2012, ushauri wangu kwako gari za Europe hazihitaji mikono mingi yaani usimpe mtu gari kiholela aiseee kuna wapuuzi wakiona chuma ni ya kufunguka wanatafuta sifa road aiseee, gari tumia wewe mwenyewe
  4. Kambi ya kaboya

    Unakosea, Unakosea na nasema tena Unakosea wenye Akili hawashindani na 'System' Kibwege (Kipumbavu) hivi..shauri yako!!

    Umeandika ujinga sana aiseee,, Acha kunitisha na kumtia uoga kuna lolote ulijualo zaidi ya tope zilizokujaa kichwani bata waheed
  5. Kambi ya kaboya

    Kuna wanawake wanajua mapenzi utadhani ni majini mahaba

    Hili itabidi lijadiliwe kwenye kikao cha wanaume cha mwaka huu pale Dodoma
  6. Kambi ya kaboya

    Kesi ya Ditopile, Mramba, Yona na Babu Seya, nani alaumiwe hakimu au mpelelezi?

    Haya mambo ni ktk nchi za Africa maana tumeendelea kuona watu maarufu na wenye pesa kesi zao zimeibuliwa na wamefikishwa mahakamani na Sheria inachukua mkondo wake
  7. Kambi ya kaboya

    Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    Kila mtu anaendelea na maisha yake mkuu japo maombi ya kurejea au kurudi yamekua mengi Sana
  8. Kambi ya kaboya

    Wanawake baadhi wana mikosi ukikutana nao nyota yako ya hela inapotea

    Naomba kushiriki ktk mjadala huu Haya mambo yapo, ktk ukanda huu waa mipaka inayopatikana mkoani kagera haya mambo yapo Sana hasa kwa wanawake wanaotoka ktk kabila la wanyarwanda waliokimbia vita. Wanyarwanda wengi waliojikuta maeneo ya karagwe na Uganda hasa ile jamii ya wa tutsi wamejikuta...
  9. Kambi ya kaboya

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Wakuu mwenye konekisheni na mtoto mkali hapa chuga anifanyie wepesi maana nimeingia Jana kuhudhuria mkutano wa taasisi ya wahandisi hapa jijini lkn sijui nianzie wapi,,nipo hadi jpili na muda huu Niko hapa picnic ila nahitaji toto zuri ambalo halina mambo mengi kuhusu maokoto asihofu
  10. Kambi ya kaboya

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Usisahau kubeba kilainishi
Back
Top Bottom