Eneo ni la mtu mwingine na ana leseni kisheria, nyinyi mnakubali kabisa hamna leseni na eneo sio lenu kwann mnataka kuchimba?
Hii ndio shida ya akili ya wabongo. Nyinyi wenyewe wachimbaji wadogo huwa mnataka kuuwana mwingiliano kwenye maduara yenu.
Ila wabongo tuna shida. Sana. Mbona mathematics ya hapa ni rahisi sana? Kwann asilimia kubwa ya watu mnazungumzia kutokurudisha? Kwann hamko waaminifu asee.
Umeambiwa hela zimekuja kimakosa kwann inakuwa ishu kubwa sana. Hela sio zako zimekuja kimakosa si unarudisha tu simple!
Mnataka ku...
Polisi wamekuwa wajinga sana sasa hivi. Unakuta ishu ya kawaida kabisa labda umeibiwa simu ya laki 3 yeye anataka laki 5 akusaidie uipate simu yako.
Wamekuwa wa hovyo sana hawa jamaa trust me
Unaweza ukavamiwa na majambazi kwako wakakuumiza ukaenda polisi kuchukua PF3 ukatibiwe mbwa wanataka...
Wala sio kuharibiana biashara. Ni kweli maji ya Kilimanjaro yana chumvi kwa mbali siku hizi. Nao wanajua basi tu
Kusema kweli brand ya Kilimanjaro imeporomka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.