Kama machawa hamjifunzi basi kuna kitu.
Watu wameshawakataa jamani mbona hamuelewi. Hebu fikiria hii uzi yako hapa hadi sasa wachangiaji 60 ila ni wawili tu wamekusapoti. Yaani hadi Paskali Mayala kakuzodoa dah!
Tija ya hizi ziara ni chache sana kwa nchi
Nadhani target ni personal tija kwa 2030 na si kwa Taifa kwa current timings.
It is way far misuse of resources waziri mkuu kuzunguka na ma V8 au hiyo ndege ya serekali fokker 50 kuongea na wananchi wanaolalamika petty issues ambazo zilitakiwa ziwe...
Sorry bloo ulikuwa tu unapita stendi ukaingia choo cha stendi kukata gogo ndio wakati umechutama ukaanza kuandika hii uzi au ni kitu ulitulia ukawaza ukachambuq ndio points zikaja ukaanza kuandika?
Ili muungano udumu dawa ni moja tu, kuchukua wazanzibari wote kuwaleta mikoa tofauti tofauti ya bara kisha kuchukua wabara mil 1 kuwapeleka unguja na pemba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.