Kiongozi angesema yafanyike moja mbili tatu na angesema kuanzia kesho cement iuzwe shilingi fulani na ingeuzwa, kusema fulani na fulani wakae wazungumze washushe bei ni siasa.
Ongelea ccm yetu jomba. Achana na chadema. Tumalizie huku kwetu kwanza bro maana bado hatuelewi Makamo habari yake imeishaje blooo?
By the way, umeridhika kabisa walichomtendea makamo???
Nawaza ni kitu cha kutunga sio maandiko ya Nyerere asee ila kama ni ya kweli basi sababu ni mbili tu, ukibaraka wake kwa Mbewe unamfanya anakuwa chawa na ile hali tu hawa watu ni ccm kwenye mavazi ya kondoo
Hamissi kataa kubali una changamoto za kiuanaume.
Hizi sababu ulizotoa ni ushahidi kabisa una upungufu katika kundi la kinababa
Na hii picha uliyotuwekea profile ni wewe? Basi umetuonesha where you belong. Na nyusi umetinda mkuu? Ukapaka na eye shedo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.