Recent content by Kambaku

  1. Kambaku

    Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

    We jonalisti vipi asee. Husemi mwanafunzi wa kike au kiume, tarehe umeigeuza pia
  2. Kambaku

    Polisi hawamtafuti tena aliyemuua Mushi, bali wanatafuta wanaosema Mushi ameuawa

    Kwahiyo akikimbia muuwaji polisi hawatakiwi kumtafuta? Wiki nzima dogo anatafutwa na watu wameenda hadi vituo vya polisi kuulizia wanaambiwa jeshi halina taarifa zake kisha unambiwa alikuwa mortuary ya polisi wiki nzima! Kwahiyo hata watu walio katika mortuary zao hawajui?
  3. Kambaku

    Paul Makonda amekutwa na nini? Kapoa ghafla!

    Au Lukasi ndio Konda?
  4. Kambaku

    Rais Samia Atoa Helkopta kwa Mawaziri Kutafuta Ufumbuzi wa Miundombinu ya Barabara ya Liwale - Lindi

    Hivi hata kuwapa mawaziri chopa ni hadi wapewe na Rais??? Hii nchi uchawa umefika stage kubwa sana. Chopa ya jeshi mawaziri kwenda site unasema wamepewa na Rais. Badala mpeleke mainjinia hata hivyo mnampeleka Ndejembi. Ujinga mtupu..
  5. Kambaku

    TANAPA yafufua ujenzi hoteli ya kitalii Chato, CHADEMA wapinga

    Nyota 5 chato??? Ujinga hautaisha nchi hii. Shida kubwa nchi hii watu hawana uchungu na mali ya Taifa. Nina imani kabisa hao Maboss wa Tanapa waliopitisha huo ujenzi ukiwaambia wakajenge chochote kwa hela zao binafsi toka mfukoni hapo chato watakataa ila kwa sababu ni hela ya serekali wanaona...
  6. Kambaku

    Dinari Kuwaiti: Ndio Sarafu Imara Duniani na Njia Tanzania Inaweza kufuata ili Kuifikia

    Mkuu njia pekee ya kuifanya shilingi ya Tanzania iwe na nguvu ni kuweka viongozi waadilifu na wenye weledi fullstop!
  7. Kambaku

    Picha: Geti lililojengwa na TANAPA kuingia hifadhi ya Nyerere kwa Tsh. Bilioni 2

    Kwann uwanja wa ndege hutaki kuuongelea wakati nao umetajwa katika hela hizo? Unafaidika nini ukizusha taharuki hivi?
  8. Kambaku

    Huyu mbwa vipi? Anaumwa au amezeeka?

    Ni mitaa gani hii mkuu kama namfananisha na mbwa mmoja hivi kerege
  9. Kambaku

    Yanga ni zee ambalo halina mafanikio ukilinganisha na umri wake

    Wewe amini nakwambia huna akili. Unamuita Manara mjinga, hivi ukiamua kujitokeza nyuma ya key board na wewe tukakujua kuna ambacho umemzidi Haji wewe, Haji kakuzidi hela, kakuzidi mali, kakuzidi umaarufu na kakuzidi hata huo ujinga (Ambao yeye unamlipa sasa sijui wewe ujuzi wako unakuzidi...
  10. Kambaku

    Ni hatari sana hadi leo Simba hawajajua tatizo liko wapi mwaka wa 3 huu utopolo wanabeba ubingwa

    Kwahiyo kwa akili yako kuna mtu anaingilia kumsajili Jobe na Fredi ili kutengeneza pattern Yanga awe bingwa? Hebu try to grow up man Na hii ndio shida ya mashabiki wa Simba. Hamtaki kabisa kukubali timu yenu ni mbovu na Timu ya Yanga ni nzuri this time. Mnaikwepa sana hii misamiati miwili...
  11. Kambaku

    Huu uvaaji wa Millard Ayo kwenye msiba wa Gardner umenishangaza sana

    Miladi ni yupi hapo katika hao wawili? Tunashindwa kuchangia mada mkuu hatumjui.
  12. Kambaku

    Mpenzi wangu kakubali kukutana kimwili na rafiki yangu

    Unaanzaje hadi kusajili line ili umtongoze mpenzi wako? Yaani hunuamini kiasi hiki? Then kwann unaendelea nae mtu ambae hunuamini to that extent? Anyways umepata ulichotaka. Uamuzi wa kuzika hapo hapo au kusafirisha unao wewe sasa
  13. Kambaku

    Kuna raia wa nje anataka kunitapeli

    I am work at HR..... I would like to hiring you.......
  14. Kambaku

    Ungefanyaje?

    Sasa lazima awe demu wako huyo, si umeshahisi ni mchawi unataka mawazo ya nini tena si uachane nae?
  15. Kambaku

    Hii ndio hali ya Bumbuli ambayo Mbunge wake ni Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi

    Sasa mwalimu anaingiaje hapa? Huyo mwalimu alikuwa mbunge wa Butiama?
Back
Top Bottom