Recent content by Kambaku

  1. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Mtoto kwa mama hakui

    Si unaona kaweka na picha ya nyumbani kwake hapo
  2. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Kwa Hali hii, nchi itafakari kuhusu Maisha ya Raia Wake

    Na hapo vikwazo vya muamerika bado, vikianza navyo vikaumana hali itakuwaje
  3. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati Ruge kwenye club house anadai hali siyo nzuri huko. Adai Mafwele kasema hataenda chini pekee yake

    Anataka kwenda chini na nani sasa? Wakati anapokea hayo ma oda alikuwa na nani?
  4. Kambaku

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jihadhari Sana na Kitu kinaitwa Vodabima. Unaweza Kupoteza Pesa Yako. Ni Mfumo wa Kubahatisha

    Kuna mtu pia aliwahi kulalamika vodabima ya afya. Alilipa na ndugu yake akaumwa akalazwa alikoma!
  5. Kambaku

    JamiiForums Tanzania KERO Mwekezaji mwenye leseni ya utafiti anatuzuia Wananchi kuchimba madini Kijiji cha Patamela, Wilaya ya Songwe

    Eneo ni la mtu mwingine na ana leseni kisheria, nyinyi mnakubali kabisa hamna leseni na eneo sio lenu kwann mnataka kuchimba? Hii ndio shida ya akili ya wabongo. Nyinyi wenyewe wachimbaji wadogo huwa mnataka kuuwana mwingiliano kwenye maduara yenu.
  6. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Temeke DC yafafanua Watumishi kuingiziwa fedha kisha kuambiwa wazirudishe, yaelezwa ziliingizwa kimakosa

    Ila wabongo tuna shida. Sana. Mbona mathematics ya hapa ni rahisi sana? Kwann asilimia kubwa ya watu mnazungumzia kutokurudisha? Kwann hamko waaminifu asee. Umeambiwa hela zimekuja kimakosa kwann inakuwa ishu kubwa sana. Hela sio zako zimekuja kimakosa si unarudisha tu simple! Mnataka ku...
  7. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Katavi: Askari Polisi ashtakiwa kwa kuomba na kupokea Rushwa ili awaachie waliokutwa na gunia 10 za bangi

    Polisi wamekuwa wajinga sana sasa hivi. Unakuta ishu ya kawaida kabisa labda umeibiwa simu ya laki 3 yeye anataka laki 5 akusaidie uipate simu yako. Wamekuwa wa hovyo sana hawa jamaa trust me Unaweza ukavamiwa na majambazi kwako wakakuumiza ukaenda polisi kuchukua PF3 ukatibiwe mbwa wanataka...
  8. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Elimu ya mjinga ni majungu, Bora ukose mali upate akili, yanga wamedhihirisha KUKOSA KWAO AKILI

    Simba kule zanzibar walibadilishia wapi nguo? Usiseme Yanga sema mpira wa Tanzania ujinga mtupu. Punguza hasira za comeback
  9. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni Sisi CHADEMA tunapaswa kuweka njia ya Muafaka wa kitaifa wa kweli kwa kutangaza Upendo na Msamaha

    Pandikizi jipya in one - two! Mnakuwaga na akili za kizamaniiiii yaani
  10. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mkopo kwa dhamana ya nyumba

    Uko wapi Nyumba iko wapi Nyumba ina thamani gani na wewe unataka mkopo wa shilingi ngapi
  11. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Wasifu wa Naibu Waziri wa Ajira Eveline Munisi

    Ukiona mtu anakosea hadi spelling kwenye headlines za CV ujue ni mtu anafananaje kichwani
  12. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Wageni Milioni 27 Wamerundikana South Africa, Idadi Hii ni kubwa sana, Naunga mkono Watimuliwe

    Yaani una udini kiasi hiki? Aseee
  13. Kambaku

    JamiiForums Tanzania KERO Maji ya Kilimanjaro hayana ladha tuliyoizoea, wajitafakari

    Wala sio kuharibiana biashara. Ni kweli maji ya Kilimanjaro yana chumvi kwa mbali siku hizi. Nao wanajua basi tu Kusema kweli brand ya Kilimanjaro imeporomka
  14. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Huu wimbo kuhusu Mzee Chande uwe fundisho kwa wastaafu wote waliowahi kushika madaraka makubwa

    we weka mwimbo huo hapa sheikh!
Back
Top Bottom