Recent content by Kambaku

  1. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Hatari,avunjwa mkono na kuporwa simu kisa T-shirt ya Samia

    Hii ni pure how do I get out au wamakonde walijisemea 'nitoke vipi'.......... Teja wahedi kabisa
  2. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Mchaga kamwe haisomi namba ya Msukuma

    Ndio akili yako imeishia hapa kuanzisha uzi kama huu? Mnazidi kuwapa watu nafasi ya kuwasema wasukuma This uzi was unnecessary, narudia tena unnecessary!
  3. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Lissu: Kama pumzi imekata wafunge ushahidi

    Umewahi kusikia ule msemo kuwa 'hata mtu mjinga kiasi gani huwa anachukuliwa mwenye akili hadi time anafungua mdomo kusema au kuchangia mada'?
  4. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Msaada hapa

    World remit ni mpango mzima
  5. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Gardening and landscaping design service

    Nataka ndio Ila huoni kama ungetuma na hapa unge draw attention ya watu wengi zaidi
  6. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Mangungu ni pandikizi la Yanga ndani ya Simba, shtukeni

    Mangungu ndio kaweka hela yake bank hataki kusajili?
  7. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Mnaolipa mamilioni kusomesha watoto EMS mmesikia kilichomkuta huyu jamaa kwa binti yake?

    Sasa English medium na umalaya wa kujiua unavihusishaje ? Hakuna waliosoma kayumba ambao wamejaa telegram wanatangaza hayo makitu?
  8. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Bila pombe hatuwezi!!

    Wewe na nani au na Mwashambwa
  9. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Mangungu na Tray Again ni dhaifu ndio maana wapinzani wetu wanawapenda

    Shida unadhani mo ndio kila kitu na yeyote anaekuwa against nae ni adui yako! Pole sana Usiwaze mambo yako ukiwa na mo moyoni, mchukulie nae kama ni mangungu mwingine kisha tafakari
  10. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Mwashambwa, Tlaa, Choice na machawa wengine

    Usiseme your among the bogus sema you are among the bogus
  11. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Mwashambwa, Tlaa, Choice na machawa wengine

    Ila mwamba kizungu chako aah! Sasa but the article of very nonsense ndio nini
  12. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Confession: Juu ya kulala na wake za watu

    Zamani mtu akifumaniwa na mke wa mtu kesi inaitwa ya ugoni kisha pesa inadaiwa kesi inaisha ila siku hizi sijui kwanini watu wanataka sehemu za siri za nyuma za mwanaume zihusike kwenye kesi
  13. Kambaku

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Dkt. Kizza Besigye mpinzani wa Museveni kwa sasa yuko hali mahututi, sijui utawala wa Museveni utajitetea nini

    Kwann unawaza watajiteteaje wakati wenzio ndio kitu wanataka afe watawale kwa amani
  14. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Mke adanganya ametekwa ili aende kwa mchepuko wake

    Upwiru kama upwiru Umemfanya mama wa watu awaze kwa kutumia makalio
  15. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Maskini akili tu ndio ulinyimwaga. Kwako wewe vita ni hadi wapige majiji ya marekani? By the way hapa we unashabikia nini unashangaa kushabikia vita ni mambo mabaya?
Back
Top Bottom