Recent content by Kambaku

  1. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Makamu wa rais Ndejembi aagiza saruji kushuka bei

    Hakutaka kuingilia kwann sasa anasema ishuke. Hao mawaziri wa biashara si wapo na wanaona tu tangu inapanda hadi sasa?
  2. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Makamu wa rais Ndejembi aagiza saruji kushuka bei

    Kiongozi angesema yafanyike moja mbili tatu na angesema kuanzia kesho cement iuzwe shilingi fulani na ingeuzwa, kusema fulani na fulani wakae wazungumze washushe bei ni siasa.
  3. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Ukiwatazama kwa makini sana viongozi wa chadema taifa, utagundua baadhi yao wako pale kimkakati na hao ndio wana hujumu mipango ya CHADEMA

    Ongelea ccm yetu jomba. Achana na chadema. Tumalizie huku kwetu kwanza bro maana bado hatuelewi Makamo habari yake imeishaje blooo? By the way, umeridhika kabisa walichomtendea makamo???
  4. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Kipanya ana maana gani hapa?

    Kwamba makamo ni bado jeniziii sana! Mwenzie anaongelea mambo nyeti yeye anawaza weldikapu
  5. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Choku wa kenya hamkuti dayon monson wa Tz.

    Hivyo tu?
  6. Kambaku

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Na wewe una kosa kubwa tu. Kushiriki kutenda kosa la jinai
  7. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Uwezekano ni mkubwa hii nafasi ya Makamu wa Rais! Ikahusu hawa watu 3 pekee

    Profesa Kiti bado huamini kama umekosa hii nafasi?
  8. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Mama anainyosha nchi

    Imepinda kwani? Kama imepinda nani aliipindisha?
  9. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya masaa 48 Dr. Nchimbi Kung'atuka umakamu wa Rais kwa kujiuzulu

    Nani ni nonsense sasa hivi kati yako na uliyembishia?
  10. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Hakuna muwekezaji afungue hospital ukanda wa Ubungo, Kimara, Mbezi yote basi hata Kibaha

    Wajenge hospitali kwenye kiwanja cha skwea mita 500? Itakuwa hospitali au duka la dawa hilo
  11. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Kwanini Yeriko Nyerere ana chuki ya kiwango cha juu dhidi ya Tundu Lissu?

    Nawaza ni kitu cha kutunga sio maandiko ya Nyerere asee ila kama ni ya kweli basi sababu ni mbili tu, ukibaraka wake kwa Mbewe unamfanya anakuwa chawa na ile hali tu hawa watu ni ccm kwenye mavazi ya kondoo
  12. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Waenda guest wana changamoto ya afya ya akili

    Hamissi kataa kubali una changamoto za kiuanaume. Hizi sababu ulizotoa ni ushahidi kabisa una upungufu katika kundi la kinababa Na hii picha uliyotuwekea profile ni wewe? Basi umetuonesha where you belong. Na nyusi umetinda mkuu? Ukapaka na eye shedo?
  13. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Yajue maeneo ambayo ni marufuku kupiga picha Dar es Salaam

    Namba 4 na namba 14 zako zina tofauti?
  14. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Wasira: Si vizuri nchi yetu kujenga taswira ukikosea sheria jibu ni maridhiano. Haiwezekani kila mkivunja sheria mnaitaji busara

    Hivi nani anaetaka sana maridhiano kati yao na hao chadema?
Back
Top Bottom