Kwahiyo akikimbia muuwaji polisi hawatakiwi kumtafuta?
Wiki nzima dogo anatafutwa na watu wameenda hadi vituo vya polisi kuulizia wanaambiwa jeshi halina taarifa zake kisha unambiwa alikuwa mortuary ya polisi wiki nzima! Kwahiyo hata watu walio katika mortuary zao hawajui?
Hivi hata kuwapa mawaziri chopa ni hadi wapewe na Rais???
Hii nchi uchawa umefika stage kubwa sana. Chopa ya jeshi mawaziri kwenda site unasema wamepewa na Rais.
Badala mpeleke mainjinia hata hivyo mnampeleka Ndejembi. Ujinga mtupu..
Nyota 5 chato???
Ujinga hautaisha nchi hii.
Shida kubwa nchi hii watu hawana uchungu na mali ya Taifa. Nina imani kabisa hao Maboss wa Tanapa waliopitisha huo ujenzi ukiwaambia wakajenge chochote kwa hela zao binafsi toka mfukoni hapo chato watakataa ila kwa sababu ni hela ya serekali wanaona...
Wewe amini nakwambia huna akili.
Unamuita Manara mjinga, hivi ukiamua kujitokeza nyuma ya key board na wewe tukakujua kuna ambacho umemzidi Haji wewe, Haji kakuzidi hela, kakuzidi mali, kakuzidi umaarufu na kakuzidi hata huo ujinga (Ambao yeye unamlipa sasa sijui wewe ujuzi wako unakuzidi...
Kwahiyo kwa akili yako kuna mtu anaingilia kumsajili Jobe na Fredi ili kutengeneza pattern Yanga awe bingwa?
Hebu try to grow up man
Na hii ndio shida ya mashabiki wa Simba. Hamtaki kabisa kukubali timu yenu ni mbovu na Timu ya Yanga ni nzuri this time. Mnaikwepa sana hii misamiati miwili...
Unaanzaje hadi kusajili line ili umtongoze mpenzi wako? Yaani hunuamini kiasi hiki?
Then kwann unaendelea nae mtu ambae hunuamini to that extent?
Anyways umepata ulichotaka. Uamuzi wa kuzika hapo hapo au kusafirisha unao wewe sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.