Recent content by Kambaku

  1. Kambaku

    Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    Kama machawa hamjifunzi basi kuna kitu. Watu wameshawakataa jamani mbona hamuelewi. Hebu fikiria hii uzi yako hapa hadi sasa wachangiaji 60 ila ni wawili tu wamekusapoti. Yaani hadi Paskali Mayala kakuzodoa dah!
  2. Kambaku

    Mkwara wa Ali Rajinani kwa Trump na Netanyahu

    Kambaku mimi na ugalatiq wapi na wapi asee. Mimi sina ushabiki maandazi na sina ugalatia wowote nawachukia tu wapenda vita
  3. Kambaku

    Kalonzo: Tunachunguza kwa umakini mauzo ya hivi karibuni ya hisa za Nation Media Group

    Wakenya hawataki kuamini mTanzania anaweza kuwekeza uwekezaji mkubwa kwao
  4. Kambaku

    Kitu gani ulikiona kwenye Usaili ukajua kabisa hapa kazi hakuna?

    Hayanaga formula hayo makitu mzee. Unaweza kuta hao waliokuwa hapo kazini wakakosa akapata mgeni wa mbali
  5. Kambaku

    Dkt. Mwigulu awasili mkoani Katavi kwa ziara ya kikazi

    Tija ya hizi ziara ni chache sana kwa nchi Nadhani target ni personal tija kwa 2030 na si kwa Taifa kwa current timings. It is way far misuse of resources waziri mkuu kuzunguka na ma V8 au hiyo ndege ya serekali fokker 50 kuongea na wananchi wanaolalamika petty issues ambazo zilitakiwa ziwe...
  6. Kambaku

    Athari za kukiuka sheria zaitesa CHADEMA kwenye medani ya siasa za Tanzania

    Sorry bloo ulikuwa tu unapita stendi ukaingia choo cha stendi kukata gogo ndio wakati umechutama ukaanza kuandika hii uzi au ni kitu ulitulia ukawaza ukachambuq ndio points zikaja ukaanza kuandika?
  7. Kambaku

    Ili kukuza muungano tugawane sawa kwa sawa na Zanzibar

    Ili muungano udumu dawa ni moja tu, kuchukua wazanzibari wote kuwaleta mikoa tofauti tofauti ya bara kisha kuchukua wabara mil 1 kuwapeleka unguja na pemba
  8. Kambaku

    Ili kukuza muungano tugawane sawa kwa sawa na Zanzibar

    Mil 2 wamefika lini
  9. Kambaku

    Kila nikitaka kuondoka Nyumbani kwenda kupanga, Hofu inanirudisha nyuma. Nifanyaje?

    Akijenga atahamiaje kwake sasa na amekwambia ana hofu na hataki kutoka kwao? Sema akae tu kwao huku akisubiria washua wafe pawe kwake moja kwa moja
  10. Kambaku

    Iran yaushambulia kwa bomu Uwanja wa ndege wa Dubai leo, Machi 7, 2026

    Ila walipoanza kushambuliwa uliona sawa? Acha kutukana watu. We kula ugali wako na bamia lala
  11. Kambaku

    Uko tayari kufanyiwa kipimo cha afya kupitia njia yako ya haja kubwa (anal canal)?

    Hawajaumwa hao ndugu zako. Wakiumwa wataingiziwa sio kidole tu hata mkono mzima huko nyuma na watabong'oa wenyewe
  12. Kambaku

    Iran wanachezea kichapo jamani loh!

    Ukijiona unashabikia vita ukiwa upande wowote ule jua huna akili
Back
Top Bottom