Shida unadhani mo ndio kila kitu na yeyote anaekuwa against nae ni adui yako!
Pole sana
Usiwaze mambo yako ukiwa na mo moyoni, mchukulie nae kama ni mangungu mwingine kisha tafakari
Zamani mtu akifumaniwa na mke wa mtu kesi inaitwa ya ugoni kisha pesa inadaiwa kesi inaisha ila siku hizi sijui kwanini watu wanataka sehemu za siri za nyuma za mwanaume zihusike kwenye kesi
Maskini akili tu ndio ulinyimwaga. Kwako wewe vita ni hadi wapige majiji ya marekani?
By the way hapa we unashabikia nini unashangaa kushabikia vita ni mambo mabaya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.