Hii michanganuo kwa kuisoma hivi tu inaonekana ni simple ila ukienda field sasa.
Inafurahisha kuisoma na kuchangia tu lakini ukithubutu ukaingia kwenye utekelezaji utajutia..
Nakushauri pia usiingie mzima mzima kwenye kilimo, maana unaweza kuja kugombana na kila mtu atakayekuwa anazungumzia kuhusu faida za kilimo mbele yako.
Kwanza kabisa unatakiwa kuhakikisha kuku wako wana eneo la kutosha ( nafasi katika banda lao) ili wasibanane, kama hilo limezingatiwa ndo uanze kufuata ushauri mwingine uliopewa na wadau wengine hapo juu ikiwemo kuwapa mboga za majani, chokaa, vitamini na chumvi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.