Kaka mi mkristo.. sojui kwa waislam ikoje... ila bibilia inatuambia hivi...IKIMBIE ZINAA....
kimbia sana wala usiangqlie nyuma.. tenampaka sasa uko katiaka hatua za mwisho za kuanguka.... kaka RUN AWAY.. FASTER...
jamani tatizo letu watanzania tunasahau haraka.... nawakumbusha bure..HATUNA SERIKALI KABISA....!!!
tuna kundi la wezi wakiongozwa na baba yao kutawala wakitumia MAKALIO kufikiri
Jamani Jamani, KAMATI ZA MAANDALIZI, ...muwe makini na mipango yenu, kwa nini mlipanga kuwazamisha maharusi? ama mnataka kusema kuwa hela ya kumpa contractor wa daraja hilo haikuwepo?
Mnaooa angalieni kamati zenu vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.