Na inaonekana kajidhatiti kaja kikazi, na usikute kajiogesha madawa ya kienyeji tangu kwao ili akiingia tu baba mwenye nyumba astuke, embu ajiulize miaka yoye hiyo tangu ameishi na mkewe mpaka wana watoto wanne leo aje kupata mstuko kwa huyu?housegirl keshakuzidi akili na hivi ana mwanga kidogo wa elimu, itakulaje kwako!!!!??? be carefully man!!!
Embu nenda huko basi kaondoe hizo stress mwache mama wa watu aishi kwa amaniDuh! Gagaaa!, nitakosaje mistress bongo hii, mshikaji mmoja namdai pesa ananizingusha kila siku mwingine kafukuzwa kazi akiwa bado kunilipa, ukiacha hizo maisha yamepanda bei unapata pesa kinachofanyika hukioni kabisa, mafuta ya kupangia foleni, ufisadi kila sehemu, umeme ndio hivyo tena kibao.. lakini si hoja ya hii mada najitahidi sana kucontrol stress ili maisha yaende kwani hakuna side B of life
Gugwe , naomba nikuulize, unae mistress??swali la kizushi
Tena uwe mwangalifu kweli mkuu kwani hao watoto wa Singida wanatia kishawishi kwelikweli. Miaka ya 90 niliwahi pata h/girl toka Singida, alikuwa mchokozi kweli kweli mpaka nikaanguka katika dhambi.
yaonekana wewe kwako hakipiti kitu bila kuguswa eh!? habari ya siku nyingi?kama analipa we mega tu ila usimmbake
ndio hapo sasa!! we mtu anapikiwa hata ambavyo havikuwa kwenye ratiba ya mlo wa siku hiyo!!! ni nini zaidi kinachoongezwa kwenye hiyo chai ya maziwa anayoandaliwa faster faster wakati maza house hayupo??Na inaonekana kajidhatiti kaja kikazi, na usikute kajiogesha madawa ya kienyeji tangu kwao ili akiingia tu baba mwenye nyumba astuke, embu ajiulize miaka yoye hiyo tangu ameishi na mkewe mpaka wana watoto wanne leo aje kupata mstuko kwa huyu?
<br />Tena uwe mwangalifu kweli mkuu kwani hao watoto wa Singida wanatia kishawishi kwelikweli. Miaka ya 90 niliwahi pata h/girl toka Singida, alikuwa mchokozi kweli kweli mpaka nikaanguka katika dhambi.
hiyo ndiyo singida baba hebu isome vizuri geografia yake nawafahamu vizuri kaza buti utanasa na upupu akupulizieSijafanya bado ila mambo yanavyokwenda nona umuhimu wa kuweka mikakati ya kutoanguka katika jaribu hili. Samahani wewe ni mwanaume au mwanamke?
Wanawake wako wengi sana mtaani huko kama unataka ''kupoza njaa''. Huyo housegirl mission yake kwako si tu kufanya ngono zembe na wewe la hasha. Kazi ni kwako!
Niko poa kaizer, mbona umetelekeza familia yako upo? unamuona jamaa kashapenda tayari HG wakeGaga za masiku........
MhhhhhhhhhhAngalia hawana kipeperushi kwa hiyo lazima uwe lijali kamili
Ha ah ahaaaa, kishatolewa pale....... labda supu ya pwezaAngalia hawana kipeperushi kwa hiyo lazima uwe lijali kamili