Pole sana kaka, hata mimi nipo kwenye situatuion kama yako na nimeachwa kwa maneno mengj sana, ila nna amini malipo ni hapahapa duniani na MUNGU anawapenda watu wake
Mimi, nimeshadharaulika. Nimeshachambwa, nimeshadhalilika, nimeshahudumia sana, amenifanyia mabay yote, lakini sikumuacha, niligundua makuzi aliyokulia yalimfanya asiamini kuna upendo wa kweli, nikapambana akae sawa na kweli, alikaa sawa, nipo nae hadi muda huu...na hakika.mimi ni shujaa nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.