Siasa hizi hadi US zipo, kasome AUDACITY OF HOPE cha Obama. Siasa ni siasa tu, ndio maana unaambiwa ukiwa mwanasiasa usiruhusu kupigwa picha ukiwa 'bafuni'
Jana Mkuu ameshangazw na kitendo cha baadhi ya majaji kwenda likizo katika nchi za kifahari kupumzisha akili. Si hilo tu, bali kilichomshangaza ni kutumia gharama zao. Siamini kama Mopao hajui kuwa majaji wana maslahi manono sana.
Sheria ya Malipo na Stahiki za Majaji imewfanya wawe mithili ya...
Mkuu mwizi haibi hadi aone sehemu ya kuiba na mazingira umemtengenezea ya kuiba. Sekta binfsi ni wafanyabiashara(analenga kupunguza cost na kuongeza faida), sasa kama tuna mifumo dhaifu ya kisheria na kiutendaji, unategemea kweli tusiibiwe?
Swali la msingi, tunaouwezo wa kudeliver? Chukua case study ya hii ttcl ya sasa. Mwaka juzi/jana walianza kuifufua upya lakini nashindwa kuelewa kama wako serious kiasi gani.
1 . coverage yao mbovu. Uko mwanza mjini lakini ukitoka km 10 nje(nyegezi) hakuna service.
2 inafanya kazi kwenye sim za...
Moja ya njia ya kuwatambua viongozi na muelekeo wao ni kupitia kauli zao. Si mara ya kwanza kumsikia 'mopao' akizungumzia makosa ya ubinafsishaji holela hasa sekta ya mawasiliano. Akitolea mfano wa Ethiopia kuwa na kampuni moja ya umma tu ya mawasiliano. Kisha akazilazimisha kampuni za...
A big chunk of those "likes," "retweets," and "followers" lighting up your Twitter account may not be coming from human hands. According to new research from the University of Southern California and Indiana University, up to 15 percent of Twitter accounts are in fact bots rather than...
Abs
Absolutely, and if Kenyatta believes that Odinga is breaking the laws(of which i believe he is), basi amburuze mahakamani. Hii kufungia vyombo ni muendelezo wa utamaduni wake wa kutokuheshimu katiba (rejea kauli zake za hovyo kuhusu majaji na tishio la kuibana zaidi mahakama). Asijikute...
Kinachotutesa sisi Afrika sio katiba (CONSTITUTIONS) bali ni ile dhana ya kuheshimu na kukubali kuishi kwa kufuata matakwa ya kisheria na kikatiba (CONSTITUTIONALISM). Ni kweli ili kitu kiheshimiwe ni lazima kiwepo, lakini kama kipo na hakiheshimiwi hakuna maana ya kuwepo.
Binafsi ninashindwa...
katika pita pita nimekutana na hii habati juu ya kuyeyuka barafu za greenland. wengi tunajua kua kuongezeka kwa joto duniani ndio chanzo cha kuyeyuka kwa barafu hiyo, but imegundulik vinginenvyo.. pitia article hii
'The ice sheet in Greenland is melting, but it turns out that the culprit is...
Kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa dunia imekua ikishuhudia 'vita ya maneno' dhidi ya Raisi wa Marekani, D Trump na Rais wa Korea Kaskazini, Kim, J.U huku kila upande ukijinasibu una uwezo mkubwa wa kuingamiza nchi nyingine kwa bomu la nuklia. hii imepelekea kila upande kupata 'mashabiki'. binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.