kamanda Hannibal
Member
- Jan 24, 2018
- 15
- 12
Moja ya njia ya kuwatambua viongozi na muelekeo wao ni kupitia kauli zao. Si mara ya kwanza kumsikia 'mopao' akizungumzia makosa ya ubinafsishaji holela hasa sekta ya mawasiliano. Akitolea mfano wa Ethiopia kuwa na kampuni moja ya umma tu ya mawasiliano. Kisha akazilazimisha kampuni za mawasiliano kujisajili DSE.(akiwindwa zaidi 'DAVO').
Baadae ikawalazimu kusajili taarifa zao kwa mfumo mpya wa kielekroniki (huku ttcl ndio 'mbunifu' wa mfumo huu). Punde Airtel ni mali ya TTCL. Leo kampuni mpya 'yenye meno zaidi' imezaliwa.
Kama ambavyo 'Mopao' alivyotamani nakufanikiwa kuminya 'mainstream medias',-kwa sababu zile zile-ndivyo anavyotaka kuminya sekta ya mawasiliano.
'Nothing is coincident', makampuni binafsi yamawasiliano yajiandae kumpisha TCC kwani 'Mopao' is at work kuifanya 'Tanzania kuwa kama Ethiopia.'
Ni utabiri tu kama wa Sheikh Yahya!
Baadae ikawalazimu kusajili taarifa zao kwa mfumo mpya wa kielekroniki (huku ttcl ndio 'mbunifu' wa mfumo huu). Punde Airtel ni mali ya TTCL. Leo kampuni mpya 'yenye meno zaidi' imezaliwa.
Kama ambavyo 'Mopao' alivyotamani nakufanikiwa kuminya 'mainstream medias',-kwa sababu zile zile-ndivyo anavyotaka kuminya sekta ya mawasiliano.
'Nothing is coincident', makampuni binafsi yamawasiliano yajiandae kumpisha TCC kwani 'Mopao' is at work kuifanya 'Tanzania kuwa kama Ethiopia.'
Ni utabiri tu kama wa Sheikh Yahya!