Recent content by Kama ipo ipo

  1. K

    Hivi Wastara ametumia vigezo gani kumkubalia Dudubaya?

    Yupo desperate haswa ningekuwa Wastra hata kiutani/kiki nisingeruhusu hili litokee 😏😏! Halafu sijui haijui historia ya dudu na yule mwanamke wake alikuwa mganga wa kienyeji Kinondoni!
  2. K

    TANZIA Mmiliki wa OnlyFans, Leonid Radvinsky afariki dunia

    Aisee labda biashara ya maonyesho ya vipapa na minduku itapungua R.I.P billionaire
  3. K

    Kama kweli Ayatollah wamemla kichwa, basi hao Wairan kichwani hamna kitu kabisa!

    Mkuu unaitaje ya kushtukiza? Unajua wao wamejiandaa kwa muda gani? Wamejitahidi kwa uwezo wao! Na ndio maana uharibifu umekuwa mkubwa kwa muda mfupi.
  4. K

    Trump ndio anaomba mazungumzo sio Iran

    Mkuu wakishafikia target wanakuita mezani, tayari unakuwa left with not so many options kusoma saikolojia ya mzungu ni kazi!
  5. K

    TANZIA Msemaji wa M23, Willy Ngoma auawa kwa shambulio la Droni

    Uwaweke refugee camp wakati mipaka ilivokatwa wao walibaki upande wa pili ambao ni congo 🇨🇩 mkuu.
  6. K

    TETESI: Mkuu wa BLACKWATER, Erik D. Prince ajikuta mikononi mwa makomando wa M23

    Huyu huyu kundi lake lililoanya uhalifu wa kivita Iraq? Kuna nchi huwa zinatafutaga mabalaaa kwa nguvu! No wonder sababu za vita hazitajwi yanasemwa mengine.
  7. K

    Kusema ukweli nchi ya Rwanda ni nzuri sana

    Sasa itaacha vipi kuwa nzuri akati mtu mrefu msafara wake gari tatu mkuu
  8. K

    Sielewi wairan wanaandamania nini?

    Wakimbizi mkuu waliokimbiza roho zao
  9. K

    Maisha ya sasa ya msanii Saida Karoli

    Wasanii waache kuishi maisha makubwa kuliko uwezo wao. Chinga anasema you make your fart bigger than your assie
  10. K

    Aunt Ezekiel "Kwenye ndoa ni bao moja tu”. Ni kweli?

    Mkuu yuko sahihi, wewee kama unapiga hizo 6 jaribu kuelekeza hizo nguvu kwingine, baada ya muda wewe utakuwa no 1 na Mo atafatia.
  11. K

    Kipi ni Bora kwako: Kununua nguo/kiatu kimoja brand/OG kwa bei kubwa au kununua copy nyingi kwa bei ndogo?

    Zamani nilikuwa na michina kibaoo nikaona mmmh unanunua kiatu usipokivaa miezi 3 kinaanza kutengana sole na top. Bora uingie gharama tuu.
  12. K

    Sielewi wairan wanaandamania nini?

    Mkuu wakimbizi wote wa kiiran waliojazana 🇺🇸 na UK hao wote wanakimbia bure kwa mtazamo wako kama ukivyosema hujui.
  13. K

    Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Huu ni ujumbe kwa nchi fulani fulani zilizokuwa zimeanza mazoea!
Back
Top Bottom