Recent content by Kama ipo ipo

  1. K

    JamiiForums Tanzania Diwani Athumani amewekwa detention?

    Ajali nayo ya kumuweka mtu "ditensheni"!
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kama una 40yrs+ na unaishi nyumba ya kupanga na uko na family, jitazame upya

    Mbona wapo wengi, hebu wape mbinu watoke vipi sababu kuu eti wanangoja mafao ndio wajenge!
  3. K

    JamiiForums Tanzania Wanawake hawajilindi na UKIMWI kama ilivyo kwa Wanaume

    Lakini pia si hakatai wewee ukimvalia/ukimvesha!
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wengi huwa hawajui taarifa muhimu za watoto wao?

    Kawaida tuu mkuu, achilia mbali habari za watoto wao, hata za kwao wenyewe hawazijali!
  5. K

    JamiiForums Tanzania Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa

    Hivi watu ambao huwa mnashangaa kuwa watanzania wamefikia ukatili wa kiwango fulani huwa mpo serious au ni msemo tuu, Rest easy young man.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Vietnam wameanza kunusa harufu ya Mbabe wa Dunia kuanza kuzeeka

    One sided thoughts, yaani kirahisi tuu hivo 💤
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kongo (DRC) imeipiku Ethiopia na kuwa nchi ya tano kwa uchumi mkubwa zaidi barani Afrika.

    Wanaisuka suka mkuu vile wanapenda sifa za kikolo
  8. K

    JamiiForums Tanzania Walevi nawaomba hapa leo

    Aisee bia ya moto inaweza kukufanya kichwa kikawaka bia ya 3 tuu, chai ya rangi sijainywa kitambo sana
  9. K

    JamiiForums Tanzania mtu ajaribu kuni mention mara mbili au tatu kwenye post moja

    Chai ya rangi hiyo dose ya panadol au 😆
  10. K

    JamiiForums Tanzania Hivi Wastara ametumia vigezo gani kumkubalia Dudubaya?

    Yupo desperate haswa ningekuwa Wastra hata kiutani/kiki nisingeruhusu hili litokee 😏😏! Halafu sijui haijui historia ya dudu na yule mwanamke wake alikuwa mganga wa kienyeji Kinondoni!
  11. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mmiliki wa OnlyFans, Leonid Radvinsky afariki dunia

    Aisee labda biashara ya maonyesho ya vipapa na minduku itapungua R.I.P billionaire
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kama kweli Ayatollah wamemla kichwa, basi hao Wairan kichwani hamna kitu kabisa!

    Mkuu unaitaje ya kushtukiza? Unajua wao wamejiandaa kwa muda gani? Wamejitahidi kwa uwezo wao! Na ndio maana uharibifu umekuwa mkubwa kwa muda mfupi.
Back
Top Bottom