Recent content by kalua 89

  1. K

    Askofu Gwajima ana chuki binafsi dhidi ya Rais Samia, hili la chanjo ni kupitishia tu chuki yake

    Mkuu bado sijakuelewa. Kwamba wameona hatua nzuri ya kupandikiza hizo microchip ni kupitia chanjo ya korona na siyo ALU au chanjo ya Mgongo wazi kwa mama wajawazito ambazo hizo dawa zote hospitali zinatolewa kwa wagonjwa bila hata kuwa na wasi wasi. Ebu endelea kutoa elimu mkuu na elimu ikigusa...
  2. K

    Askofu Gwajima ana chuki binafsi dhidi ya Rais Samia, hili la chanjo ni kupitishia tu chuki yake

    Br mbona hizo microchip tumeanza kuziskia kabla ya korona? Je hizo microchip ni lazima zisambazwe kupitia chanjo ya korona pekee? Ebu toa elimu mkuu maana kuna wengine tunajua kuwa hapa kwetu hakuna chanjo yoyote tunayotengeneza wala hakuna dawa tulizogundua wenyewe lkn kila siku kwenye...
  3. K

    CDF Mabeyo anastahili A+ ya weledi katika kipindi chake cha kuliongoza jeshi

    Mkuu sijui ni kigezo gani hutumika kumuita mtu askari. Hawa vijana wanapata mafunzo ya kijeshi kwa asilimia 25 na uzalishaji asilimia 75 kwa mujibu wa miongozo yao na hayo mafunzo wanayapata kwa muda wa miezi sita kisha wanapewa namba za kijeshi (force no) . Siku ya kuhitimisha mafunzo...
  4. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa spirit ya gem mbili zilizopita hii gem pia iko upande wetu Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
  5. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Japo sina mashaka sana na ushindi wetu leo ila lazima wachezaji wetu wajitume na waweze kutumia nafasi vizuri sio km gem iliyopita tulikosa nafasi tatu za wazi Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
  6. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nenda mpaka mawasiliano tower ukiumaliza ukuta wa hilo jengo kuna kibao kimeandikwa law school hapo ifuate hiyo barabara ndogo ya lami itakufikisha getini Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
  7. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa arsenal kitu kinachopungua ni wachezaji kutokujituma lkn wakijituma tu kidogo wanaweza fanya maajabu Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
  8. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Raha mpira ni pamoja na maajabu yaliyomo. Hakuna alietarajia matokeo ya Leicester na Villa hiyo jana Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
  9. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal tuko kwenye hali mbaya ila Barcelona wako kwenye hali mbaya zaidi Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
  10. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Inatakiwa apigwe kuanzia 6 Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
  11. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Namuona Leno na Luiz wamerudi . adhabu zao zimeisha au? Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
  12. K

    Msaada: Naweza kupata magari binafsi yatakayoniwezesha kufika Mwanza ikiwa nitapanda saa tisa alasiri?

    Tatizo sio Boeing mkuu tatizo sijafikia uchumi wa kuzipanda hizo Boeing za JPM
  13. K

    Msaada: Naweza kupata magari binafsi yatakayoniwezesha kufika Mwanza ikiwa nitapanda saa tisa alasiri?

    Napigia hesabu kuanza safari leo mkuu ili kufikia kesho asubuhi niwe nimefika yaani nikianza safari leo saa kumi basi nisitumie zaidi ya masaa 18 njiani.
Back
Top Bottom