Recent content by Kaliro X

  1. Kaliro X

    Tuliomaliza chuo 2015-2020 bila ajira mpaka Sasa tukutane hapa

    Kabla sijacomment chochote bilashaka wewe ni graduate wa 2020+
  2. Kaliro X

    Redmi Xiaomi 11pro haifungui picha nkiwa jamiiforum

    Developers wa JF app wamefeli upande huo.. Functionality nyingi unazopata kwenye web version hazipo kwenye app.. labda kwasbb ya CMS waliyotumia Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
  3. Kaliro X

    Kipi kilisababisha ufukuzwe kazi

    Hahah, ilikuwa kampuni gan mkuu? Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
  4. Kaliro X

    Siku ya 3 katika safari yangu ya kujifunza programming

    Hongera sana, lakni kama kweli ni siku yako ya 3 basi unaiga kunya kwa tembo utapasuka msamba.. Unless tayari una background knowledge ya programming you can go ahead otherwise umeanza kujibebesha mzgo mzto mapema sana you were supposed to start with basiiiiics.. Anyways kama kweli...
  5. Kaliro X

    Kipi kilisababisha ufukuzwe kazi

    Akili hufanya kazi kwa ufanisi zaidi palipo na changamoto hasa kwenye dunia ya sasa ya kibepari, wapi utakaa bila toxic creatures hawa mpaka kwenye nyumba za ibada wamejaa wengi sana.. Imagine umezaliwa katika familia yenye narcist parents utahama nyumba? Chamsingi sio kuwakimbia bali ni...
  6. Kaliro X

    Kipi kilisababisha ufukuzwe kazi

    Sijui kwanini katika maisha yangu sijawahi kufukuzwa kazi, wakati najitafuta kabla sijaamua kufungua kampuni zangu nilikuwa naamuaga tu kuacha mwenyewe, na walikuwa wananililia sana niendelee kubaki Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
  7. Kaliro X

    Twitter kubadilishwa jina na mwonekano kuanzia leo, Itaitwa "X"

    Umetafsiri ulivyotaka wewe na sio main content ya habari halisi ilivyotaka.. Anyways twitter sijawahi kuipenda nimekuwa on-off kwa matukio maalum tu, luckily thread is here to rescue me Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
  8. Kaliro X

    Nawezaje kuishi na mwanamke zaidi ya miaka kumi bila ndugu wala marafiki zangu kazini kujua

    Kwahyo Madam Supika ndo Roli modo wako kwenye relationship staffs? Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
  9. Kaliro X

    Nawezaje kuishi na mwanamke zaidi ya miaka kumi bila ndugu wala marafiki zangu kazini kujua

    Mkuu unaonekana una tabia za kuwala wafanyakazi wenzio ndomana hutaki wamjue mkeo.. Ila faida kubwa utaiona siku ukipata matatizo na mkeo ndo mtu wa kwanza kukusaidia akipewa taarifa na hao unaotaka wasimjue Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
  10. Kaliro X

    Msaada wa logo ya jina la biashara

    Uko sahihi kabisa, lakini the sad part of it kesho na kesho kutwa anaweza kukutana na logo kama yake kwenye same industry, akichimba zaidi anakuja kugundua ni hawa amacha designers ambao hawaumizi kichwa kuweza kuifanya logo izungumze kwa niaba yake kwa wateja wake.. Logo pekee haiuzi bidhaa...
  11. Kaliro X

    Msaada wa logo ya jina la biashara

    Nikupe pole.. habari mbaya ambayo hutopenda kuisikia ni kwamba unaweza kupata logo pale kariakoo hata kwa elf20 lkn baada ya mwaka utajutia kuingia gharama kubwa zaidi kufanya rebranding.. Bora ugharamike leo kwa kupata kitu kizuri kuliko kuingia gharama kubwa kuirudia wakati ambapo brand yako...
  12. Kaliro X

    Msaada wa logo ya jina la biashara

    Ntakufanyia kwa bei ya kiungwana 100,000/= nicheck 0715168802 nikuoneshe samples Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
  13. Kaliro X

    Naombeni mnisaidie formula ya excel

    Use ChatGPT Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
  14. Kaliro X

    Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

    Leaving certificate haioneshi matokeo ya mwanafunzi, ni karatasi inayoonesha mwanafunzi alimaliza shule fulani basi Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
  15. Kaliro X

    Kelele zenu za ripoti ya CAG ziliishia wapi? Naona sasa ni Bandari

    Haya kijana wa Lumumba ushalipwa buku 10 zako uje kubwabwaja hapa Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom