Mpeleke mchanganyiko akachangamke na wenzake zipo shule za mixer za dini na kawaida zinafanya vizuri jiulize kwanini?? Muda mwingine mnawatengezea watoto upweke usio na ulazima unaathiri hadi masomo yao angalia matokeo ya St marys ulete au St dominic savio utapata jibu
Dini zote zina namna ya kumalizana hakuna anaetaka mwenzake aenee kuliko yeye, wengine wanatumia nguvu kubwa wengine wanatumia akili kubwa tunaoumia ni sisi ngozi nyeusi tuliokubali kupokea.
Ndugu haya mambo hayajaanza leo wanaoyafanya hayo ni watu wenye imani zao na itikadi sisi huku izo imani tumepokea tu wote ukristo na uislamu,
Waliojikita hasa kwenye izi imani mkristo na muislam hawawezi kula sahani moja
Tangu enzi za Pope urban II na rashidun caliphate (1095) uislam na...
Ndugu, wapo waislamu wanayotenda hayo matendo kwa sababu za kidini tu na si vinginevyo kutokana elimu ya itikadi kali waliyopewa muislamu kama wewe ambae upo soft na unaweza ata kula chakula au kuishi nyumba moja na asiye muislamu wanakuona kafiri wanakuchinja tukubali elimu ya itikadi kali ipo.
Vijana tunanunua kwa mihemko bila kuangalia uhalisia wa kipato unachukua mkopo m25 unavuta gari mzee ananunua kwa saving na pesa ya ziada ambayo haiathiri mahitaji yake mengine pia mzee wa 50+ si gari yake yakwanza akienda anabadirisha kwa kupanda,
Vijana hukuwahi ata kununua gati ya m10 au 15...
Apo umezingua wanaposema gari ya 2005 maana yake ndipo uzinduzi wake ulipoanza na si kwamba mode hiyo haiendelei kutengenezwa, inaweza kuwa mode ya 2005 ikaendelea kuzalishwa hadi 2020, na kuna za 2005 bado zinaundwa mpya lakini toleo ni hilo 2005
Na unaweza pata gari mpya kabisa km0 ya 2005
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.