Recent content by kalipeni

  1. kalipeni

    Kuhani Musa akutana na kusalimiana Rais Samia Ikulu

    Ikulu sidhani ni pahala pa kujipendekeza, ukimuona mtu ikulu ujue kahitajika akaitwa.
  2. kalipeni

    Washukiwa wa shambulio la kigaidi la "Crocus" wanasema kwamba walikuwa wakisafiri kwenda Kiev kupokea zawadi waliyoahidiwa

    Kwa case kama hiyo ata ukisema ukweli bado maafIsa wanajua unadanganya wanazidi kuminya mbupu.🤣🤣🤣 Shida ya mpelelezi anaekufanyia mahojiano akiwa na majibu kichwani yani wanataka uwaambie tumetumwa na marekani uingereza akishirikiana na Ukraine apo ata bikira wa kirusia utapewa ata kama ulikua...
  3. kalipeni

    Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

    wamasai wa zanzibar hawakukosea.
  4. kalipeni

    SGR Mchakato wa Nauli ndiyo huu hapa, mtoto hadi Moro kulipa Tshs 12,400

    ata mwendokasi wakati inaanza tulisema hatupandi sababu ya nauli maana tulishazoea nauli ya daladala, lakini sasa ivi tunagombania,
  5. kalipeni

    Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

    mwaka huu wakristo walianza kufunga pasaka kabla ya waislamu kufunga ramadhan sikusikia katazo la kula hadharani sababu wakristo wanafunga.
  6. kalipeni

    DP World kuanza mchakato wa kuajiri, Wafanyakazi wa TPA wadaiwa kutakiwa kuchagua kwenda DPW au kubaki TPA

    TPA ondokeni na watu wenu mna maeneo mengi ya kuwapeleka muacheni mwarabu amwage ajira madogo wapambanie.
  7. kalipeni

    Rais Hussein Mwinyi: Mzee alitupa wosia akiwa hai mimi niwe msimamizi wa Familia pamoja na kuwa kuna wakubwa zangu

    Mbona mama jana alisema yule mwinyi mwingine ndio awe kiongozi wa familia.
  8. kalipeni

    Sugu ameonesha ulimbukeni mkubwa sana kusema kuwa ameweka rekodi ya Dunia ya Muandamanaji aliyevaa vito vya thamani zaidi katika maandamano

    Lengo la tamko la sugu ni kuonesha namna gani maandamano ni ya amani kama walivyodhamiria maana kwa maandamano ya vurugu asingeweza kuvaa izo thamani au kama angevaa zisingekua salama.
  9. kalipeni

    Marekani yaanza kulalamika vita vyake na Houth. Yasema haijawahi kupigana vita kama hivyo tangu vita vya pili vya dunia

    Sasa mzungu na vita za kurushiana 'majini' ataweza wapi kwa mwarabu.
  10. kalipeni

    TLP imekufa kama alivyokufa kada wake Mrema

    Ila kenembo ka jogoo si bado kanaonekana?? watarudi tu upepo wa siasa haueleweki usishangae 2025 wakaja kwa kishindo.
  11. kalipeni

    TLP imekufa kama alivyokufa kada wake Mrema

    Vipi ile ofisi yao ya pale manzese Argentina.
Back
Top Bottom