Recent content by kalipeni

  1. kalipeni

    Askofu Ruwai'chi: Tusiwe Wakatoliki wa Vijora na kuhongwa

    Roma locuta causa finita est
  2. kalipeni

    Mtoto wa marehemu John Komba amshauri mtoto wa Ndugai... CCM sikieni

    Dogo anafananisha mwanakwaya na mzee kazi 🤣🤣🤣
  3. kalipeni

    Nime share a hotel room na rafiki yangu wa kiume

    Mumeo uliniomba pesa ya malazi na chakula kipindi chote utakachokua training nikakupa, kumbe ukashare room na mwanaume sijapenda.
  4. kalipeni

    Naomba kujua shule nzuri kwa wasichana

    Mpeleke mchanganyiko akachangamke na wenzake zipo shule za mixer za dini na kawaida zinafanya vizuri jiulize kwanini?? Muda mwingine mnawatengezea watoto upweke usio na ulazima unaathiri hadi masomo yao angalia matokeo ya St marys ulete au St dominic savio utapata jibu
  5. kalipeni

    Marekani na Marafiki zake wameishaingia kwenye Mtego wa Iran. Hakuna rangi wataacha kuona

    Andiko limekaa kinazi sana WAMEKWISHAAAAAA 🤣🤣
  6. kalipeni

    Kipigo kikubwa chashushwa Telaviv majengo mengi yamegeuzwa magofu

    Yemen mnafiki sana sasa anacheka nini😁
  7. kalipeni

    Iran yawa nchi ya kwanza kuangusha ndege isiyoonekana katika rada ya aina ya F-35

    Iyo mizinga katikati ya jiji na makazi ya watu uniambie wamekufa watu wawili labda kama waisraeli miili yao haaiingii makombora
  8. kalipeni

    Iran yawa nchi ya kwanza kuangusha ndege isiyoonekana katika rada ya aina ya F-35

    Kwa hiyo video machache yameharibiwa mengi yamepenya.
  9. kalipeni

    Wakristu waendelea kuchinjwa huko Nigeria

    Dini zote zina namna ya kumalizana hakuna anaetaka mwenzake aenee kuliko yeye, wengine wanatumia nguvu kubwa wengine wanatumia akili kubwa tunaoumia ni sisi ngozi nyeusi tuliokubali kupokea.
  10. kalipeni

    Wakristu waendelea kuchinjwa huko Nigeria

    Ndugu haya mambo hayajaanza leo wanaoyafanya hayo ni watu wenye imani zao na itikadi sisi huku izo imani tumepokea tu wote ukristo na uislamu, Waliojikita hasa kwenye izi imani mkristo na muislam hawawezi kula sahani moja Tangu enzi za Pope urban II na rashidun caliphate (1095) uislam na...
  11. kalipeni

    Wakristu waendelea kuchinjwa huko Nigeria

    Ndugu, wapo waislamu wanayotenda hayo matendo kwa sababu za kidini tu na si vinginevyo kutokana elimu ya itikadi kali waliyopewa muislamu kama wewe ambae upo soft na unaweza ata kula chakula au kuishi nyumba moja na asiye muislamu wanakuona kafiri wanakuchinja tukubali elimu ya itikadi kali ipo.
  12. kalipeni

    Subaru forester kushuka bei kwa kasi

    Vijana tunanunua kwa mihemko bila kuangalia uhalisia wa kipato unachukua mkopo m25 unavuta gari mzee ananunua kwa saving na pesa ya ziada ambayo haiathiri mahitaji yake mengine pia mzee wa 50+ si gari yake yakwanza akienda anabadirisha kwa kupanda, Vijana hukuwahi ata kununua gati ya m10 au 15...
  13. kalipeni

    Ni bora kununua gari yenye kilometa 200,000 kutoka Japan kuliko kununua gari yenye kilometa 50,000 Tanzania

    Apo umezingua wanaposema gari ya 2005 maana yake ndipo uzinduzi wake ulipoanza na si kwamba mode hiyo haiendelei kutengenezwa, inaweza kuwa mode ya 2005 ikaendelea kuzalishwa hadi 2020, na kuna za 2005 bado zinaundwa mpya lakini toleo ni hilo 2005 Na unaweza pata gari mpya kabisa km0 ya 2005
  14. kalipeni

    Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko

    Kuongea kingereza watu wasiojua kama wachina ata wewe itakupa shida.
Back
Top Bottom