Nani kakwambia clauds wamepatahasara??uko mikono walipokapita unadhani walipata hasara..hap wanafaida nyingi tu.suala shoo ya dar ndo ilikua inaendakuwapa total loss.wakajiongeza
Yaelekea hukusoma history ya advance.basi bwana bara LA america lilikua maarufu kwa uhuzaji wa vitambaa maarufu kama marikani.nadhani umaarufu wa io bidhaa ndio ikapachikwa marekani na hii ni pia kutokana na mabadiliko ya matamshi au lafudhi
Mama tibaijuka alienda kwa braza wake Ruge kumuomba msaada wa pesa kidogo ili aendeshee shughuli zake.braza akapiga pigs miamala akampa.lakini bunge lilimkaba akalipa kodi ya kiasi alichopokea kama sheria inavyomtaka.sasa kW nini zawadi ya makonda isilipiwe kodi???
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.