Recent content by kalikiti

  1. K

    Hoteli / Lodge nzuri jijini Tanga

    Atakua anaisemea lukasi
  2. K

    Mkoa wa Kilimanjaro waongoza kwa watoto kupata utapiamlo

    Tatizo watoto wadogo wanashindia mbege...mtoto akilia mbege,akizubaa zubaha anachangamshwa na mbege..Yan mtoto anashindia machicha unategemea nini?
  3. K

    Hii ndio sababu halisi iliyo wafanya clouds waahirishe tamasha la Tigo Fiesta

    Nani kakwambia clauds wamepatahasara??uko mikono walipokapita unadhani walipata hasara..hap wanafaida nyingi tu.suala shoo ya dar ndo ilikua inaendakuwapa total loss.wakajiongeza
  4. K

    MOSHI GEM's (T) Ltd

    Contact zako please
  5. K

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Yan bia walai cjui INA mini.mungu azidi kuilehemu idumu daima
  6. K

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    We mwambie akwende.atarudi tu...
  7. K

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    We utakua upo bukoba vijijini ndanindani uko
  8. K

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Ivi unaweza kupata gono na kaswenda kwa kula 007?
  9. K

    Kwanini U.S.A inaitwa Marekani?

    Yaelekea hukusoma history ya advance.basi bwana bara LA america lilikua maarufu kwa uhuzaji wa vitambaa maarufu kama marikani.nadhani umaarufu wa io bidhaa ndio ikapachikwa marekani na hii ni pia kutokana na mabadiliko ya matamshi au lafudhi
  10. K

    Raha ya nyumba ya bati mvua ikinyesha

    Aisee hata ukiwa peke yako unaweza tamani pasikuche Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

    Mama tibaijuka alienda kwa braza wake Ruge kumuomba msaada wa pesa kidogo ili aendeshee shughuli zake.braza akapiga pigs miamala akampa.lakini bunge lilimkaba akalipa kodi ya kiasi alichopokea kama sheria inavyomtaka.sasa kW nini zawadi ya makonda isilipiwe kodi??? Sent using Jamii Forums...
  12. K

    Bia gani inafaa kwa mtu anayeanza kunywa?

    Hahahah we in mwehu kweli.......
  13. K

    Tomaso naingia Sinza sio kila kitu kusimuliwa tu leo nataka kufanyiwa Masaji

    usije ukatia aibu tu uko broo.kama hali mbaya sana pitia public toi, piga moja la mkono ndo uende uko ...teh
Back
Top Bottom