mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,963
- 2,479
USA kuitwa marekani huenda ni kwasababu wao hujiita American hivyo hilo jina liliposikika kwa waswahili ikawa rahisi kutamkika marekani, Misri hili jina yawezekana lina historia, ufaransa ni kama marekani tuhuenda mara ya kwanza kusikika matamshi yake yalisikika kama ufaransa..sawa kabida na german ambao wanatqmkwa kama jerumanKwa nini USA inaitwa Marekani, au Egypt inaitwa Misri.au France inaitwa Ufaransank.
Wamarekani wanajua, ndio maana hata matangazo yao utasikia kwa msaada wa watu wa marekani na ni muhimu kwao kujuaWenyewe wanajua haya majina ya nchi yao yanayotumika huku?
.
si kweli...majina mengine hubadilika kutokana na rafudhi na mfumo wa lugha yao ulivyo, mfano mdogo nchi ya urusi, kwa watumiaji wa kingereza wanaitamka kama rashia, waswahili tunaiita urusi na wao waita rusia....lakini pia kuna nchi ambazo ziliingiliana muda mrefu na zikapewa majina na wenyeji yasiyoendana na nchi zao..mfano ureno ni portugue hilo jina yawezekana walipewa tu na watumia kiswahiliKwa nini majina ya nchi zingine yanabaki hivyo hivyo ,mfano ukisema Tanzania dunia nzima wanaita hivyo, Kenya dunia nzima wanaita hivyo
lakini ukija U.S.A huku kwetu tunaita Marekani, Turkey huku kwetu tunaita Uturuki nk.