Kwa waliopata post za TFS hususani wale awamu ya kwanza wa trh 30/4, barua ya kupangiwa kituo unapeleka TFs Dar au Dom Nina dogo kabahatika. Natanguliza shukrani.
Aisee kwanza kabisa nikupongeze kwa kupata ajira.
Jingine, kupitia huu ushuhuda wako Kuna vingi vya kujifunza na unatia chachu kwa watafutaji kutokukata tamaa.
Wakuu salama,
Samahanini kwa yoyote mwenye maswali ya Data analyst practical naomba anisaidie. Au anaejua abc zozote za kushauri.
Naomba kuwasilisha
Asante
MDa and LGA wamekuwa wakitoa majina kwa baadhi ya kada na kuwafanyisha usahili, kwenye mkeka huu afisa hesabu wenye CPA nadhan ndo walioitwa kwanza, endelea kuwa na subira kama umeitwa au lah lazima utaona mabadiliko kwenye akaunti yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.