Haya maswali unaandika kwa mfumo wa insha,
Haya maswali unaandika kwa mfumo wa insha,
Hahaa na nyie mnawaza kama mimi kumbe, yaani siku nikiona account yangu inaonyesha selected for oral interview , yaani mimi najua kazi tayari bila chenga kabisa. ,,,,, anyway mwenye written interviews za human resources officer atupee Nondo jamani. pia kuna zile post za admission officers na quality assurance officers za NACTVET sijui mitihani yake inakuwaje kwa ambae alishafanya hata written anaweza kusaidia wengine kubrush brain kidogo.Bora wewe ambaye ushaingia oral kadhaaa sisi wengine tunaishia written tu nadhani siku iyo nikiingia oral ya utumishi basi kazi nimepata
Forquestions
DUUUHHHUkikosa kwenye mfumo wa tamisemi unakuwa hujatumia gharama kama kwenye hizo za psrs unatumia nauli kutoka bukoba had dodoma unafikia lodge alafu hata kwenye oral hufiki
Writen interview ya taxation TRA diploma
Vipi mkuu naomba msaada nna hii nterviewKuna yeyote anajua maswali wanayouliza kwenye interview za TANAPA kada ya conservation ranger III - Account, yaani Assistant accountant?
Hongera kwa kutoboa oral mzeeAnayejua maswali ya Accounts Officer II Msaada wakuu.
duuhhNna interview kesho nawaza niende sijui nsiende unajua ile unaenda interviews mpaka unakinai
Ulipata post gani mkuu?1.La kwanza education background/introduce your self/your history
2.duties zako hili hutegemeana wakati mwingine wanakuuliza your daily routine ndo hizo hizo duties
3.challenge za kazi yako na kuzisolve
4.ujue mambo mengi ya kazini kwako