Mfano, mimi nishawahi kufanya kazi ya kusajili lain. Kwenye kumuunganisha mteja na either huduma ya M-pesa, Airtel Money etc lazima mteja akupatie simu yake. Unapofikia kipengele cha kuweka password unatakiwa umpe mteja aweke mwenyewe, sasa wateja wengi, hasa kina mama (wanawake) atakwambia weka...