Habarini wadau,
Nina dogo langu alimaliza form 4 mwaka jana na kupata division 1 ya 14, amechagulia chuo cha Kibaha kwa kozi ya Clinical Medicine na Tamisemi.
Swali langu ni kuwa je, kwa hiki chuo anaweza kupata ufadhili kutoka serikalini kwenye issue za ada pamoja na malazi?
Nina dogo langu alimaliza form 4 mwaka jana na kupata division 1 ya 14, amechagulia chuo cha Kibaha kwa kozi ya Clinical Medicine na Tamisemi.
Swali langu ni kuwa je, kwa hiki chuo anaweza kupata ufadhili kutoka serikalini kwenye issue za ada pamoja na malazi?