Recent content by Kalakwana

  1. Kalakwana

    "Bora msagaji kuliko mume wangu"

    Yeye hajishughulishi anategemea mtelemuko kwa nani. Chips mayai zinawaponza mno wanawake.
  2. Kalakwana

    Mchange na Mnyika live on Startv asubuhi, Agosti 16, 2014

    Kuweni makini, huyu jamaa Mchange, ana lake. Kama nikutumwa haya kajizatiti kweli. Kwanini aibuke leo na tuhuma hizi nzito wakati tunaelekea uchaguzi mkuu? Kuna kitu hapa? Fungueni macho!
  3. Kalakwana

    Mchange na Mnyika live on Startv asubuhi, Agosti 16, 2014

    Mchange, hana lolote kabisa, kashakua kibaraka na yupo kwaajiri ya kuvuruga chadema. Huyu ndo mmoja wa vijana walio rubuniwa na chama tawala kuharibu
  4. Kalakwana

    Mchange na Mnyika live on Startv asubuhi, Agosti 16, 2014

    Huyu jamaa anasema kweli na kwavile waliopo madarakani wanaweka pamba masikioni, hawaelewi na wataanza matusi.
  5. Kalakwana

    Mwanamke anaechelewa kufika kileleni nakuhitaji

    Achana na viroba ndugu
  6. Kalakwana

    Lwaitama, Makwaiya: Israel Commits Genocide?

    Wote hajui wanaloliongelea, ni ushabiki na kufurahisha uma tuu wa mlengo fulani. Hawajui tatizo lililopo la maeneo hao, wanaongea tuu without clear and unbias historical background. Wanaropoka tu kwavile wana PhD. PhD kwawengi hapa Africa haina tija, wana baki ku copy and paste na hoja zao...
Back
Top Bottom