Lwaitama, Makwaiya: Israel Commits Genocide?

Lwaitama, Makwaiya: Israel Commits Genocide?

hawawaiti "wayahudi" wanawaita "mayahudi", yeye anaamini wayahudi marekani wamefika 2ml, (hajui kama wemefikia 10mil)....kama wanajadili kitu kizuri, kwanini wawaite mayahudi? yeye atafurai akiitwa "matanzania" au "mapalestina".....kwani lwaitama elimu yake ni ipi, najua yupo pale chuo na kuna miaka fulani tulikuwa tunapishana sana kwenye daladala, na ni mkorofi ajabu hata kwenye daladala anagombana, na juzi tu hapa aligombana na precision air hadi kawekwa ndani..anavuta bange?

Azusa street. You have a head and you use it. the guy in the middle is Salim Msoma. jamaa kiazi kupitiliza. hata gazeti la uhuru hasomi yule. atakua mteja mzuri wa ijumaa wikienda. Makwaiya ndio kabisaaaa. mapalestina. mayahudi hii ni nomino ya wapi ?
 
Mkuu whether ni mausji ya kimbari, holocaust, genocide au mauaji ya hakaiki, ukweli haupingiki kuwa mauaji yasiyo na sababu yamefanyika.
Ukiua mtu na kumtafutia terminology haibadilishi the fact kuwa ameua.

Hii vita kati ya Hamas. A Israel has unproportionate bearings.
ndugu, hapa tunaongelea makosa ya jinai ambayo wayahudi wangeshitakiwa nayo, ndo wao wakasema ni genocide. hatutafuti terminologies, na akija mtu toka nje ndio maana wanatudharau watz kuwa ni mambumbumbu kwasababu huwa hatujadili vitu halisia tunajadili kwa minajiri kama hiyo ya kwako. how can you put israel accountable now kama haujui kosa gani wamefanya, utaendaje kuwashitaki ICC au popote pale? ni kwa kujua aina ya makosa na kwa ufahamu wa lwaitama na yule mwenzie, they were expected kuongea kisomi kama wasomi.

halafu,kama israel wangekuwa na nia ya kuua wapalestina, wangeshaua hata kwa masaaa mawili tu gaza yote ingeshapukutika. gaza ina watu milioni moja na nusu, waliokufa ni alfu mbili kwa mwezi mzima na waliowengi ni kwamba hamas ilikuwa inawatumia kama kinga na wakati huohuo wakirusha rocket israel na kupitia mahandaki kwenda kushambulia israel, ulitaka israel wanyamaze tu? ungekuwa wewe mtu anarusha risasi nyumbani kwako halafu ukitaka kumrudishia anashika kitoto kidogo kama kinga na wakati akiwa ameshika kitoto anaendela kukurushia risasi ungefanyeje....ULIONA yale mahandaki yaliyochimbwa toka gaza hadi israel?....kwa sababu kama hizo ndio maana hata israel haiwezi kushitakiwa kimataifa kwasababu kuna justification kama hizo na dunia nzima wameona. mara ngapi israel wametaka ceasefire lakiini hamas wamekataa? nani mgomvi na kwanini mnapendelea kualumu israel peke yake bila hamas? hamas ni babu zenu?
 
Wanachokisema wao kua ni uongo bila kutuonyesha ukweli upo wapi, mahaba ya udini kwa kutumia biblia yanakutesa.....

BTW
Hamas na Israel wote ni wahalifu wa kivita...
 
Wote hajui wanaloliongelea, ni ushabiki na kufurahisha uma tuu wa mlengo fulani. Hawajui tatizo lililopo la maeneo hao, wanaongea tuu without clear and unbias historical background. Wanaropoka tu kwavile wana PhD. PhD kwawengi hapa Africa haina tija, wana baki ku copy and paste na hoja zao hazina tija na ndio maana mawndeleo barani africa ni duni mno licha yakua na wanaojiita wasomi kama hao hapo channel ten. Majanga matupu, hatufikimbali with such kind of reasoning persons. Ndo maana uwezo wao ni wamashaka mno linapokuja swala la ukombozi wa nchi.
 
kaka mauaji ya halaika ndiyo genocide yenyewe ndugu yangu.
mauaji ya halaiki ni crimes against humanity, wakati mwingine huitwa makosa dhidi ya ubinadamu. genocide kwa kiswahili ni "mauaji ya kimbari". hapo unatofautisha shambulio dhidi ya civilian population (crimes against humanity) na shambulio dhidi ya kundi fulani kwaajili ya kulifuta kabisa (genocide..angalia watusi na wahutu kama unajua kilichotokea). huo ni mfano wa haraka kwa mtu asiye professional kuelewa haraka. hata hivyo, kwenye shambulio dhidi ya raia a.k.a mauaji ya halaiki ambayo israel inasemekana kuyatenda gaza, yana justification kama eneo lililopigwa ni military target na hizo collateral damate kwa raia huwa ni za kawaida na zinategemewa kuwepo hata sheria za kivita zinatambua hilo. unless iwe ilionekana muuaji alifanya deliberately ndio itahesabika lakini kama ushahidi upo kuwa alijitahidi kuminimize collateral damate (vifo vya raia) basi hatashitakiwa. lakini sasa kwa gaza, hamas wanatumia human shield (kinyume na sheria za kivita) na israel ime hit pale tu zilipotoka rockets unategemea utawapeleka israel mahakama gani hapo?
 
ndugu, hapa tunaongelea makosa ya jinai ambayo wayahudi wangeshitakiwa nayo, ndo wao wakasema ni genocide. hatutafuti terminologies, na akija mtu toka nje ndio maana wanatudharau watz kuwa ni mambumbumbu kwasababu huwa hatujadili vitu halisia tunajadili kwa minajiri kama hiyo ya kwako. how can you put israel accountable now kama haujui kosa gani wamefanya, utaendaje kuwashitaki ICC au popote pale? ni kwa kujua aina ya makosa na kwa ufahamu wa lwaitama na yule mwenzie, they were expected kuongea kisomi kama wasomi.

halafu,kama israel wangekuwa na nia ya kuua wapalestina, wangeshaua hata kwa masaaa mawili tu gaza yote ingeshapukutika. gaza ina watu milioni moja na nusu, waliokufa ni alfu mbili kwa mwezi mzima na waliowengi ni kwamba hamas ilikuwa inawatumia kama kinga na wakati huohuo wakirusha rocket israel na kupitia mahandaki kwenda kushambulia israel, ulitaka israel wanyamaze tu? ungekuwa wewe mtu anarusha risasi nyumbani kwako halafu ukitaka kumrudishia anashika kitoto kidogo kama kinga na wakati akiwa ameshika kitoto anaendela kukurushia risasi ungefanyeje....ULIONA yale mahandaki yaliyochimbwa toka gaza hadi israel?....kwa sababu kama hizo ndio maana hata israel haiwezi kushitakiwa kimataifa kwasababu kuna justification kama hizo na dunia nzima wameona. mara ngapi israel wametaka ceasefire lakiini hamas wamekataa? nani mgomvi na kwanini mnapendelea kualumu israel peke yake bila hamas? hamas ni babu zenu?
You are a pin brained overzelous defender of mass murderers.
Soma kwanza the history ya conflict in question, na conditions ambazo palestinians wamekuwa subjected to kabla ua kufanya sweeping statements.
 
anasema "mayahudi aka mazayuni" waliondoka middle east miaka 3000 iliyopita....that means hata kabla yesu hajazaliwa, does it mean wakati Yesu anazaliwa pale bethlehemu wayahudi hawakuwepo pale? hawajui kitu.

Kwahi hiyo inayoitwa Israel unajua ilianzishwa mwaka gani? Na walioanzisha hilo taifa linaloitwa Israel walitokea wapi?

Unasema wao hawajui historia, jee wewe unaijua?
 
anasema "mayahudi aka
mazayuni" waliondoka middle east miaka 3000 iliyopita....that means
hata kabla yesu hajazaliwa, does it mean wakati Yesu anazaliwa pale
bethlehemu wayahudi hawakuwepo pale? hawajui kitu.

tangu mama yake amkabidhi idd amin bendera ya ccm sinaga imani nae
 
Kwahi hiyo inayoitwa Israel unajua ilianzishwa mwaka gani? Na walioanzisha hilo taifa linaloitwa Israel walitokea wapi?

Unasema wao hawajui historia, jee wewe unaijua?
kabla ya kuniuliza hilo swali, jiulize wewe kwanza Temple Mount (ule msikiti unaogombaniwa), ulijengwa lini na kabla ya kujengwa ule msikiti pale kilikuwepo nini. pia jiulize kuta za hekalu ambazo zimebaki hadi leo baada ya kubomolewa hekalu la suleiman ili umengwe msikiti kwanini hadi leo zipo na waliojenga sinagogi lile walikuwa watu gani. Israel had its rebirth mwaka 1948, lakini kabla ya hapo wayahudi wengi walikuwa wanakaa pale pamoja na kwamba wengi walishatawanyika karne nyingi wakaenda mataifa mengine. ni haki yao kurudi pale. my friend, pale Bethlehem mnapopaita ndio makao makuu ya palestina ndio alizaliwa Yesu myahudi pale, kule Hebron ambako ni westbank ndio mji alijenga Daudi mfalme wa israel pale, kuna makaburi ya absalom pia kule aliyekuwa mtoto wa Daudi mfalme a israel, yapo hadi leo. you have enourmous evidence kuwa ile ardhi ni ya wayahudi.

vilevile, hiyo gaza hata kipindi Yesu hajazaliwa ilikuwa ndogo vilevile na ilikuwa inakaliwa na wapinzani wa waisrael vilevile. ukisoma kwenye biblia utaona watu wanaitwa wafilisti, hawa ndio walikuwa maadui wa israel tangu enzi, hawajaanza leo wala juzi. na mgogoro huo hautakuja kuisha kamwe. Uislam pale holy land umeingia miaka zio mingi baada ya crusades wakristo walipopigwa ndio uislam na waarabu wakatwala kwa mizizi kiasi kile lakini kabla ya hapo ile ilikuwa ardhi ya wakristo waliokuwa wamewatalawala wayuhudi kwa miaka mingi (Warumi/Roman empire) hivyo Arabs ambao ndio wafilisti hawana cha kudai sana pale, isipokuwa kwasababu wapo pale hawana kwa kwenda basi inabidi waishi kwa pamoja kwa two state solution, hata hivyo sasa hamas wanataka kudrive wayahudi wote wakawatupe meditelenean sea sasa unafikiri israel itasubiri tu kuwa wiped out na hamas au iran? naijua israel kuliko unavyoijua wewe kidunia na kibiblia pia. hata Ben Gurio waziri wa kwanza wa israel mwaka 1948 ni mzaliwa wa palepale, sio kwamba kwasababu ardhi ilikaliwa na waarabu walipoona wayahudi wamefukuzwa basi hawakuwepo wayahudi pale nooo wayahudi walikuwepo ila walikuwa wachache. Muda ambao Mungu alishaahidi kuwakusanya wote ulipofika ndipo taifa ambalo lilikuwa limetawanyika likazaliwa tena. huu ndio ukweli hata kama umefundishwa vingine.
 
hiyo palestina kihistoria ni nchi ya mayahudi ila waliihama ikakaliwa na waarabu baada yamayahudi kupondwa huko ulaya wakaamua kurudi kwao kibabe kwa kusaidiwa na wakoloni wa kingereza. hivi leo kila mmoja kati ya waarabu na mayahudi wanadai palestina ni yao pekee. licha ya dhuluma kubwa ya kuondolewa kibabe waarabu kimsingi wamekubali kugawana palestina na mayahudi lakini wao wana ajenda ya kuwadhulumu waarabu ardhi yote ya palestina. mayahudi wana nguvu kubwa kijeshi kwa kusaidiwa na nchi za ulaya. hakika wanayofanya ni mauaji ya halaiki na viongozi wao wanastahili kwa kila hali kushitakiwa the hague.
 
You are a pin brained overzelous defender of mass murderers.
Soma kwanza the history ya conflict in question, na conditions ambazo palestinians wamekuwa subjected to kabla ua kufanya sweeping statements.
ulitaka mimi nitetee hamas? hamas ndio mass murderers terrorist kabisa. umeona mahandaki yaliyochimbwa kuelekea israel, umeona rocket zaidi ya alfu mbili zilizorushwa, ulitegemea israel inyamaze tu?halafu haujaona hamas wakiweka raia kama shield?

bofya hapa


 
Last edited by a moderator:
hawawaiti "wayahudi" wanawaita "mayahudi", yeye anaamini wayahudi marekani wamefika 2ml, (hajui kama wemefikia 10mil)....kama wanajadili kitu kizuri, kwanini wawaite mayahudi? yeye atafurai akiitwa "matanzania" au "mapalestina".....kwani lwaitama elimu yake ni ipi, najua yupo pale chuo na kuna miaka fulani tulikuwa tunapishana sana kwenye daladala, na ni mkorofi ajabu hata kwenye daladala anagombana, na juzi tu hapa aligombana na precision air hadi kawekwa ndani..anavuta bange?

Zanzibar ndio wenye hiyo tabia ya kuita watu wa bara majina ya qafir au mjibwala badala ya mbara.
 
mauaji ya halaiki ni crimes against humanity, wakati mwingine huitwa makosa dhidi ya ubinadamu. genocide kwa kiswahili ni "mauaji ya kimbari". hapo unatofautisha shambulio dhidi ya civilian population (crimes against humanity) na shambulio dhidi ya kundi fulani kwaajili ya kulifuta kabisa (genocide..angalia watusi na wahutu kama unajua kilichotokea). huo ni mfano wa haraka kwa mtu asiye professional kuelewa haraka. hata hivyo, kwenye shambulio dhidi ya raia a.k.a mauaji ya halaiki ambayo israel inasemekana kuyatenda gaza, yana justification kama eneo lililopigwa ni military target na hizo collateral damate kwa raia huwa ni za kawaida na zinategemewa kuwepo hata sheria za kivita zinatambua hilo. unless iwe ilionekana muuaji alifanya deliberately ndio itahesabika lakini kama ushahidi upo kuwa alijitahidi kuminimize collateral damate (vifo vya raia) basi hatashitakiwa. lakini sasa kwa gaza, hamas wanatumia human shield (kinyume na sheria za kivita) na israel ime hit pale tu zilipotoka rockets unategemea utawapeleka israel mahakama gani hapo?
Mosi kwenye sheria za kimataifa, Israel na Marekani ni moja ya mataifa ya ovyo kabisa kwenye kuzingatia. Waisrael wameterget wapalestina. Who can justify that Hamas are using human shield and Israel are not? Unaongelea vita vya kizamani mkuu vya Africa kama congo na waasi. Naomba uongelee modern war. Urban war mkuu wangu. Secondly crime against humanity is more accomodating than mass massacre so to speak. Makosa dhidi ya utu ndoo crime against humanity. When you systematically treat human being like animals that is crime against humanity. e.g. unawachukua wanaume unawaamuru walale na mabinti zao mbele ya halaiki. Kwamba wanachofanya wa Israel amounts to genocide, we can discuss that because my simple understanding of law we will be arguing on single legal terminology "threshold"
NB: I'm not a lawyer Nielimishe zaidi.
 
Huyo Makwaiya anaonekana siku hizi anamihemuko ya udini udini sana huyo. Jinsi alivyokuwa anazungumza ni udinism mtupu!!.
 
Wayahudi wamelaaniwa! Miss You Hitler...
ImageUploadedByJamiiForums1408146337.026059.jpg


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
hajui kabisa historia ya palestina huyo mwenye shati la draft. kamwaiya ndio kabisaa, sijui amesoma hadi langapi?

===============

Ndugu yangu, mimi siyo Mtabiri lakini wape muda hao wanaojikita kuilaumu Israeli.. Muda si mrefu hutawaona tena kwenye uso wa nchi.... Alikwepo Prof Haroub Othman miaka ya nyuma, akitumia TV za Bongo kama hawa wa PhD feki, na maneno hayo hayo ya kibaguzi kuita watu "Mayahudi", leo hii yupo wapi?
====
KUTOKA 14:13-14
13 Musa akawaambia watu, Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa Bwana atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.
14 Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.
====
 
Hapo hata mimi waliniacha hoi. Eti taifa la Israeli limeanzishwa juzi tu. Ina maana vitabu vya dini vinatudanganya? Mjadala uliegemea upande 1 (biased). Walishindwa ku-balance mjadala.

Vitabu vya dini vinasema makaburu nchi yao ya ahadi afrika kusini
 
Back
Top Bottom