Recent content by kalaban

  1. K

    Ukweli kuhusu wewe na dunia

    The only thing is to believe in Gog our Almight na kusimama ktk imani yako japo c mbaya kujua mambo mengine lkn ni mbaya kuyafuatilia maana shetani kabla ya kuangushwa alikuwa malaika wa ngazi ya juu hivyo ana mbinu nyingi za kumteka mwanadamu..shika sana ulicho nacho asije mwovu akakupokonya.
  2. K

    Udalali huu maofisini utaisha lini?

    Sure nmejifunza kwa lilonitokea jana.
  3. K

    Udalali huu maofisini utaisha lini?

    Jana nilienda kwenye ofisi moja kwa lengo la kupata leseni ya udereva; nimeshapitia process nyingine zote kama inavyotakiwa, lakini nilipofika pale nilipokelewa na mtu aliyeonekana kuwa mhudumu kwa lengo la kunisaidia, mimi sikujali nikamweleza shida yangu, akachukua document zangu na kuanza...
  4. K

    Inashangaza lakini ndio ukweli, Wanaume huwaogopa wanawake smart!

    Ni ukweli usiopingika hii ipo BT all in all kila mtu (mwanamke,mwanaume)afikie uwezo was kujitambua na kushika nafasi yake huku akiwa na hofu ya mungu ndani take hiyo itakutoa ktk fikra potofu na woga wa aina yoyote pale unapotaka kuanzisha mahusiano au tayari uko kwny mahusiano.
  5. K

    Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

    Mmetisha.
  6. K

    My CCM, NEVER do that again!

    Huo ni muono wako c mbaya lkn watu wamechoka ufisad was wazwazi unaofanyika huku serikali yetu ya ccm ikiwa inachekelea.
  7. K

    App ya simu ya ku-convert video

    This is real big thinkers clan u absolutely open my brain.. Thank u
  8. K

    Hii imekaaje ya kuja kulipia daraja la Kigamboni?

    Haina ubaya ili mradi malipo yasizidi ile ya panton n' I wish angetokea mwekezaji ajenge barabara za kulipia hats kitaani kwetu
  9. K

    Nyerere: Uongozi wa nchi haujaribiwi, labda uongozi wa mji

    Truly kujaribu uongoz ni kujaribu maisha ya watu.
  10. K

    Gharama walizotumia CCM kuwalipa Wanamuziki

    Hii ipo kila sehemu na isitoshe kila chama kimepokea fungi kwa ajili ya kampeni.
  11. K

    Wafanyakazi kampuni ya malori ya AAA iliyomuua dereva wake wagawana mali njiani

    The best teacher is ur last mistake hill somo kwao.
Back
Top Bottom