kuna basic nyingi sana unatakiwa uzijue hapo.
1. resolution, hio video yako ina resolution kubwa. kutokana na jinsi camera ilivyo na megapixel kubwa basi na video inakuwa na resolution kubwa. utaweza punguza resolution lakini ujue quality itakuwa mbaya sana hasa kwa hizi simu za kisasa zenye vioo vya hd kupanda juu.
roughly hizi ni estimation za video dakika 10
-2160p video : 20000 *60*10/8/1024 = 1465 MB
1440p video : 8913 *60*10/8/1024 = 653 MB
1080p video : 3774*60*10/8/1024 = 277 MB
720p video : 3000*60*10/8/1024 = 220 MB
480p video : 1000*60*10/8/1024 = 73 MB
360p video : 721*60*10/8/1024 = 53 MB
240p video : 377*60*10/8/1024 = 27.6 MB
144p video : 80*60*10/8/1024 = 5.8 MB
so ili uishushe hio video hadi 5mb inabidi ui convert kwenda 144p ambayo ni quality ya chini sana video itakuwa mbaya sana.
2.pia kuna codec zinaweza tumika kucompress kama x265(hevc) au x264 lakini still huwezi kutoka hapo bila kupunguza resolution.
3. pia unaweza kupunguza bitrate za video na audio ukapunguza quality yake huku resolution ikiwa kubwa kubwa kidogo.
cheki video converter nzuri hapa
5 Best Android Video Converter Apps of 2015