Naomba Jibu wadau,Ukichunguza lugha hii kwa wasomi wengi ni ngumu katika swala la mawasiliano hasa inapokuja wakati anatakiwa kueleza jambo?na ingawa Wamefanya vizuri katika mitihqni kupitia lugha hii
Nauliza wadau Mwalimu mzuri anayependwa na wanafunzi darasani ni yupi kati hawa wawili
1:ANAYETOA NOTISI KICHWANI NA KUANDIKA UBAONI?
2:ANAYETOA NOTISI DAFTARINI NA KUANDIKA UBAONI?
Kazi inayofanywa na serikali ya Awamu ya Tano ni Nzuri na ya Kusifiwa...Lakini wengi wamekuwa wanaponda...Ndio maana nasema WATANZANIA WENGI WANALALAMIKA KWA KUWA WALIZOEA KUIBA NA KUIBIWA....Tubadilike
Mtoa mada hesabu tuzo alizopata Diamond kisha mlinganishe na Kiba....KIFUPI HAMUOGOPI ila wewe unadhani anamuogopaa...tigo na vod wanafanya kazi ya aina moja asingeweza kupafom chini ya wamilik wawili fiesta....KAMA ULISOMA MKATABA sawa wa Voda na DIAMOND
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.