hahahaha,, hivi hiyo (Dr) unayomwekea Kikwete kabla ya jina lake unamaanisha DEAR au DOCTOR... ukiwa mshabiki wa chama fulan hapa tanzania hadi v2 vya uongo wew utachekelea tu...
kama hapa unaona Ndugai kafanya jambo zuri tu na unashabikia kabisa... familia itakayoongozwa na wew ina kazi ngumu...
TIZAMA MANENO YALIYOTIWA RANGI KOLEZO KISHA KAJIFUNZE KUYAANDIKA VYEMA... nimetambua upeo wa ufikiri wako kwa kusoma maelezo yako.... HUSTAHILI LAWAMA NI KOSA LA WANAOKUDANGANYA NA HAWAJUI WEWE SIO MWEREVU...
kwahiyo polis walifika wakakuta watuhumiwa wamewekwa chini ya ulinzi na askari wa MGODI,,
SWALI ; UNADHANI WANGEKUA ASKARI WETU HAPA NCHI YETU HAO WATUHUMIWA WANGEKUTWA NA KIDHIBIT CHAO:::AMINA
YOTE HAYA JAMAN YANAPATIKANA TANZANIA... alafu waliolipiwa ada za vyuo vikuu NA BODI si mnadaiwa??? MLIPE BASI TUKUZE UCHUMI!!!
( mwambie wazir wa nishati na madini angekua wa jinsia ya HAWA labda tungemchukulia poa lakin kwa style hii anamuaibisha ADAM) HAKI NAAPA
Napata shaka na utendaji wa kichwa na akili yako... KAMA WEWE NI MTANZANIA NADHAN ULISHAONA UWANJA WETU WA SOKA (MPYA) ule unaingia watu 65000 (sitini na tano elfu) TU!! sasa ule umati woote unaoonekana pale uwanjani unapaswa kuzidishwa mara 3 (tatu) kufikia idadi ya wanachama wa JF...
sio wote wanataka muda Mrefu kaka... watalam wanasema kunaambao wanafika mapema tena ile mnafanya romance tu na anakua hataki tena uendelee na hizo mambo sasa ndo utabak macho juu na NGUV ZAKO.....CHEZEA
UMBILE WEW
sio wote wanataka muda Mrefu kaka... watalam wanasema kunaambao wanafika mapema tena ile mnafanya romance tu na anakua hataki tena uendelee na hizo mambo sasa ndo utabak macho juu na NGUV ZAKO.....CHEZEA
UMBILE WEW
HALOOOOW... nahisi mtoa mada anaongelea MVUTO,,,, co lazma uwe umeingia kwenye mahusiano na huyo mwanamke uliemvutia ila UNAVUTIA WANAWAKE.... amebase kweny MVUTO sio moja kwa moja ni kigezo cha kumpata mwanamke.... KWAN WE MWANAUME NI WANAWAKE WANGAPI UNAPISHANA NAO NJIAN WANAKUVUTIA LAKIN...
NDUGU UWE MACHO SANA..hiki chama si cha kuaminika namna hiyo ... UKANUNUE NGUO ZA WANAO KWA MWANACHAMA WA CHAMA KISICHOMJALI MWANAO????? b carefull kunasumu za kuua mtu baada ya muda mrefu... HAWA SI BINADAM WENYE TIMAMU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.