nimesoma zote lkn hii imeshtua akili yangu. Ni kweli kabisa hatujaelezwa hadi sasa mmiliki wa richmond na aliyekuwa akipokea pesaa.
nchi ina mambo... na watz tumekuwa bendera tunapepea kukiwa na upepo
nimesoma zote lkn hii imeshtua akili yangu. Ni kweli kabisa hatujaelezwa hadi sasa mmiliki wa richmond na aliyekuwa akipokea pesaa.
nchi ina mambo... na watz tumekuwa bendera tunapepea kukiwa na upepo
Tanzani ina virus vibaya si VVU vya UKIMWI bali VKU- Virusi vya kuondoa uzalendo vikimkumbuka kiongozi ni hatari. Vyama vitalaumiwa bure tatizo ni watu waliokosa uzalendo na kujaa siasa uchwara
Twende tutafika tu
watu wengi wana matatizo ya kisaikolojia, mapenzi au mahusiano, uchumi n.k badala ya kuwa karibu nao na kuwasaidia kisaikolojia huwa wanapuuzwa. Hii ndio athari yake Inaniuma kwa kuwa nimekutana vija wangi wanamna hiyo wakiwa wamekata tamaa lakini nimekaa karibu nao na wanne wanendelea na maisha...
1.Umeona majina ya awamu ya tatu JKT?
2. TCU wanasemaje maana vyuo vinafungua na JKT ni tar 28 sept.
3. Je kambi ni muda gani?
4. Sasa itakuwaje vijana watii sheria ya nchi kwenda JKT au kwenda vyuoni?
5. kwanini vyombo husika TCU na JKT havitoi ufafanuzi au ndo ujsehi umeshaanza?
Tafadhali...
Hakika amefanikiwa kuingiza fikra zake vichwani mwa watu wengi, fikra zake imara zitadumu. Huyu alikuwa mwafrika halisi na hodari aliyedhihirisha kuwa Afrika si bara la giza bali lina watu makini kabisa.
Gesi nyingine yangunduliwa Mbeya eneo la Isebe, Tukuyu.
Ni liquid Carbon dioxide sawa na ile ya Kyejo, Mwakaleli, uzinduzi wake kufanyika karibuni. Ama kweli ule usemi kuwa kila mahali unapokanyaga Tanzania ni madini tu.
Swali ni kuwa je sasa ni lazima kila madini yanapogunduliwa yachimbwe haraka?
Hayo ndo magazeti ya udaku wa kisiasa.... unapoyasoma lazima uwe na mlengo fulani wa kisiasa. Kuna Tanzania Daima, Uhuru, Mzalendo. Silipigii chapuo lkn ndo ukweli kwamba Mwananchi lipo vizuri kwa habari zote na makala Kemkem:A S angel:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.