Mwizi mjinga zaidi Duniani akamatwa huko Marekani

Mwizi mjinga zaidi Duniani akamatwa huko Marekani

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
ImageUploadedByJamiiForums1403890251.788254.jpg


Dunia ina matukio mengi ambayo unaweza kudhani unaona maigizo lakini mwishoni utaamini unachokiona ni kitu halisi kwa kuwa hautaona majina ya wahusika yakipita hewani kama movie.

CBS Minnesota imeripoti habari ambayo inamhusisha mwizi ambaye polisi walimtaja kuwa mmoja kati ya wezi wapumbavu zaidi duniani, Nicholas Wig mwenye umri wa miaka 26.

Bwana Wig anadaiwa kuvamia nyumba ya mtu wakati mwenye nyumba hayupo na kuiba vitu kadhaa lakini mwisho akagundua kuna computer yenye internet, na ndipo alipoamua kuingia Facebook kufanya yake lakini ghafla aliondoka na kuiacha computer hiyo huku akisahau ku-log out.

Unaambiwa mwenye mali alipofika kwake alitamani kulia machozi baada ya kugundua kuwa tayari amelizwa vitu kadhaa nyumbani kwake, lakini alipoishika computer yake iliyoachwa na mwizi huyo aligundua kuwa mwizi wake aliingia Facebook na akaondoka bila ku-log out kwa hiyo taarifa zake na picha zake zote ziko wazi.
Baada ya kuripoti polisi, hatua za kumsaka zilianza mapema na wakafanikiwa kumkamata jamaa tena akiwa amevaa saa aliyoiba kwenye nyumba hiyo.

Mwanasheria wa County/wilaya ya Dakota, James Backstrom alipofanya mahojiano na SBC alitamka kuwa hajawahi kupata kesi ya mwizi -------- kama ya Wig.

A 27-year-old South St. Paul resident named Nicholas Wig (his birthday is actually today) faces a felony burglary charge, but he might've gotten away with it had he either resisted the urge to check his Facebook from the South St. Paul house he was allegedly in the process of burglarizing, or remembered to log off after he was done.

According to the criminal complaint, the resident of the house returned home on June 19 to find his home "in a state of disarray." A screen window had been removed while he was gone, and the front door was open even though he locked it when he left the home. Cash, a checkbook, credit cards, keys, and a Relic watch were among the items missing.

But the case was cracked when the victim took a gander at his computer.

"Law enforcement and Victim noted a FaceBook page was on the screen of Victim's computer," the complaint says. [Editorial note -- As anybody under the age of 50 surely knows, it's "Facebook".] "The FaceBook page was of 'Nick Dub's' profile. Nick Dub was later identified as Nicholas Steven Wig."


With the help of his Facebook profile, the victim was later able to locate Wig near 11th Avenue and Congress Street. He summoned the cops.

"Law enforcement located Defendant and observed he was wearing a Relic watch that matched the description of the watch taken in the burglary," the complaint says. "When asked if he had items that did not belong to him, Defendant stated he was going to give everything back."

How nice of him!

Wig had the victim's watch, car keys, and iPod shuffle on him. In a post-Miranda interview, he admitted he was the mastermind behind the burglary, and said the missing checkbook and credit cards could be found at his mom's house. After all, you wouldn't expect an alleged criminal capable of something this dumb to live anywhere besides his mom's house, would you?


Citynews.com
 
Hahaha. ..........mambo ya Facebook yamemnogea
 
Facebook×2
Twitter
Umekuwa ni mungu wa kizazi cha leo.....
 
Kubwa jinga hilo,facebook na wizi wapi na wapi
 
Hapo inadhihirisha wazi huwezi kufanya shughuli yenye hofu na inayohitaji concentration kwa wakati mmoja.
 
Marketing strategy.

Wenye macho wameelewa!

Wenye ubongo wameona!
 
Back
Top Bottom