Mgomo huu ahuwezi kuisha mpaka waziri na naibu wake wachomoke na wenyewe wamegoma kutoka,wakoradhi wananchi wafe wenyewe waendelee kubaki madalakani.hii ndiyo TZ.
Umemuelezea vizuri sana huyu jamaa yangu....
huwa anigusi hata kidogo, mkesha wa mwaka juzi kuupokea mwaka mpya ulioisha aliniboa sana ye Msami hata wa mwaka huu nikawa sina hamu ya kwenda huko...
Kwani jimbo la ubungo ni kisiwa kwamba hawaingiliani kabisa na kigamboni?? labda mbunge wake asiingilie??
Kwani mbona mnaongea mambo as if kigamboni ni kisiwa cha dar es salaam... wengine wanatuletea hadithi zao za vijijini kwao eti wao wanalipa mia 3....
serikali ni lazima iingie gharama ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.