Recent content by kajwa

  1. kajwa

    Zitto Kabwe kuunguruma tena jijini Mwanza

    huyo mtu mwacheni kama halivyo, sera zake nazikubali sana,namtakia kila laheli jiji MWANZA.
  2. kajwa

    PHD ndani ya Clouds TV Tonight @10.15pm

    Hoa ndo watu wakuwahoji cause ndo wahuza sura maharufu jiji,sio wa mh wa watu.
  3. kajwa

    Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

    Haya naitakia mafanikio mema CDM kwa hatua walio fikia.
  4. kajwa

    CUF kutumia sh 500 milioni kwa mapokezi ya Lipumba

    Tuuone huwo ujio wake wa mapokezi ya mil500 kama atasaidia swala la uchumi katika nchi TZ,I wish kuona atakacho fanya pindi atakapo fika nchini.
  5. kajwa

    Tamko la Serikali: Mgomo wa Madaktari

    Mgomo huu ahuwezi kuisha mpaka waziri na naibu wake wachomoke na wenyewe wamegoma kutoka,wakoradhi wananchi wafe wenyewe waendelee kubaki madalakani.hii ndiyo TZ.
  6. kajwa

    50 Cent Ajitabiria Kifo Chake

    mwacheni hafe kwani yeye nani?amekufa michael jackson kasolo yeye.
  7. kajwa

    Vijana wenye mafanikio zaidi bongo 2011!

    Bongo ni miongoni mwa nchi za malimbukeni hujawahi ona....... Eti kelvin Twisa.... mweh
  8. kajwa

    Unataka kumuoa Rose? Soma hapa!

    Aisee inawezekana.. Sababu pia ni kweli majina yanaathiri tabia.. Wakina rose kadhaa ninaowajua wanaangukia hapo
  9. kajwa

    Steven Kanumba Profile

    Nimechungulia site zote hamna kitu.... Nadhani hiyo inaelezea zaidi ye ni msanii wa namna gani na management yake kama ipo.
  10. kajwa

    Je nahitaji kujua sababu ya kumsamehe????

    Samehe tu Ndugu.... Japo wakati mwingine inauma... Ila hamna njia nyingine zaidi ya kusamehe.. SAMEHE!
  11. kajwa

    Aretha franklin: When the queen found the king

    Ah sasa shosti angalia lakini na ushauri wako.... Hivi kweli bibi pale home ataweza hizo move za kina Arethra?? Hawa ndio ma-celeb wa ukweli....
  12. kajwa

    Kufahamiana [JF Identities] - Faida na Hasara [?]

    Ok.... hapa nadhani ni busara kusoma mazingira tu kwanza..!
  13. kajwa

    Jay Mo• amshirikisha M.I.M.S kwenye wimbo wake

    Ah Jmo na vizungu vyake sikuhizi... Sijui itamtoa hiyo??
  14. kajwa

    Godwin Gondwe wa ITV asilazimishe fani

    Umemuelezea vizuri sana huyu jamaa yangu.... huwa anigusi hata kidogo, mkesha wa mwaka juzi kuupokea mwaka mpya ulioisha aliniboa sana ye Msami hata wa mwaka huu nikawa sina hamu ya kwenda huko...
  15. kajwa

    Je ni kweli Mnyika ameponzwa na akina Ndugulille, Zungu na Mntenvu?

    Kwani jimbo la ubungo ni kisiwa kwamba hawaingiliani kabisa na kigamboni?? labda mbunge wake asiingilie?? Kwani mbona mnaongea mambo as if kigamboni ni kisiwa cha dar es salaam... wengine wanatuletea hadithi zao za vijijini kwao eti wao wanalipa mia 3.... serikali ni lazima iingie gharama ya...
Back
Top Bottom