Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
sasa mbona mimi naitwa Rosette.....hii kitu inanihuuu.....?
Tuambie....
sasa mbona mimi naitwa Rosette.....hii kitu inanihuuu.....?
Akina Ester nafuu maradufu MarytinaLeo nawaletea utafiti mwingine ambao nilikutana nao kwenye jarida la DRUM la Afrika ya kusini,mi nanukuu walichoandika wale watafiti,ambao ni Siphiwe Joseph na Jack Lutherford.Utafiti huo uliohusisha wanawake wenye majina ya Rose sehemu mbalimbali duniani wamekuja na majibu kuwa watu hawa hupenda sana UMBEA lakini zaidi hupenda zaidi wanaume waliooa yaani wanapenda kutoka na Waume za watu,kati ya kila akin Rose 10 waliofanyiwa utafiti,7 walionesha kuwa na tabia hizo.Watafiti hao hawakusema namna walivyofanya huo utafiti lakini hayo ndo majibu waliokuja nayo.Cha kuzingatia ni,Je akina Rose unaowajua wanafit hapo?Mimi ninawajua wa3 wote ni wambea sana yaani ni wachonganishi,ila mmoja kati yao ameshatembea na waume za watu wa4!!!!
Ukifuatilia na kutumia hayo kama ndio mwongozo wako katika kuoa itabidi uoe/uolewe na mwanadamu asiye na jina.
Kongosho!Umenichekesha mbayaaaaa!
mhh makubwa yaweza kuwa kweli kwa asilimia 40
kuna mmoja ananipenda sana wkt ana mchumba wake
afu kuna mwingine mzuri sana lkn anachangaya wanaume aiseeee ngoja niwafanyie zaidi utafiti.
sasa mbona mimi naitwa rosette.....hii kitu inanihuuu.....?