Dada Tulia MIMI naamini wewe unamjua MUNGU.Kama hakuna ulazima WA kujibu ni Hekima kukaa kimya kuliko kujibu majibu ambayo yanataswira inayo Acha maswali mengi na kuharibu ushuhuda wako.Nivigumu sana kwako Leo hii ukiwaambia Watu kuwa umeokoka na wakakubali.Nirahisi kwako kushika mic kukitangaza...
Watanzania Rudini Ktk Nafasi yenu ya Utanzania.Inakuweje mnapoteza hofu ya MUNGU kwa kasi kiasi hiki.Tumefikia Level ya kufurahia mtu kutolewa uhai sababu tu huyo mtu Siyo wa ChamaChako.Halafu mnajiita Great Thinker.Acheni kuiga kila kitu.Huo utamaduni wa kuto thamini uhai wa mtu umezoeleka...
Kizazi hiki cha .com hawawezi kuelewa kitu. Lakini Tulio kuwepo wakati WA Mwalimu tuna jua nini unacho kisema.Inauma sana unapoona kiongozi Hajitambui.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.