Recent content by kagombe

  1. kagombe

    Mtu kama huyu unamsaidiaje?

    Mgoja nione wachangiaji au bro mwenyewe aje hap
  2. kagombe

    Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

    Siku mkijua tunasoma wengi alafu mnaleta lugha za malkia acheni zarau
  3. kagombe

    Ikiwa nyoka ataingia nyumbani kwako, fanya hivi

    Kuna vitu vya kuzoea jamani snack hapana nishaapa bora niwe nakutana na simba humu polini kuliko gap jamaa maana unakutana na na pisi nene kama paja
  4. kagombe

    Infinix x612 nikipiga picha picha inageuka juu chini

    Ungekua doctor wagonjwa wengekufa kwa majibu tu🙏
  5. kagombe

    Infinix x612 nikipiga picha picha inageuka juu chini

    Ni fanya reset zote ila bado tatizo lipo
  6. kagombe

    Infinix x612 nikipiga picha picha inageuka juu chini

    Habari za humu jamani naombeni msaada simu yangu infinix hd model x612. Camera imenizingua nikipiga picha picha inageuka juu chini na ya nyuma ndio imegoma ata kufunguka kabisa msaada wenu waku inaniletea juu ujumbe ninapojaribu kufunguka camera ya nyuma (The damaged is some function are...
  7. kagombe

    Tungo: Nipeni ushauri, mke gani nichague

    Inaonekana mkuu mtaalamu wa vigodoro
  8. kagombe

    TBC vipi haionekani kwenye kifurushi cha bure dstv

    Pole ila channel zingine au dish limehama 0742 504010
  9. kagombe

    MSAADA: Tiba ya tatizo la kutoona mbali.

    Dah! Tatizo kama langu ila sina uwezo wowote labda atokee mtu anisaidie sioni mbali SIKIO 1 alifanyi kazi ila napokea ushauri kwa yoyote nini nifanye nipate nafuu
  10. kagombe

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    New castle ajawahi niachga salama qummy
  11. kagombe

    UZUSHI Matiti ya mwanamke hudondoka yanapoguswa guswa na viganja vya wanaume

    Kimboka tiptop sugar ray uwanja Sufi.nk wakuje hapa
Back
Top Bottom