Siyo Tanzania tu. Nchi nyingi za kiafrika, gharama za kutokuwa na cheo/wadhifa ni kubwa sana. Ndio maana watu wanasaka ukubwa ili kuepuka gharama za kutokuwa nao. Cf: Chinua Achebe.,"The Trouble with Nigeria", Sole Soyinka., "The Man Died",,Nurredin Farah .,"The Fate of a Cockroach" au Ngugi wa...