Hongera sana mkuu ukweli kama huu wanausemaga wachache kweny mada kama hizi, wengi wetu huwa tunabeba hisia za kisiasa na kidini kupinga watu fulani lakini ukweli siku zote una nguvu na utabaki imara
Ni kweli africa tulikuwa na mifumo yetu ya kiutawala, lakini swali lilipo ni kwamba mifumo ya kiutawala ya machifu ni bora kuliko hizi democrasia zilizopo sasa??
Je katika suala la teknolojia kabla na baada ya ukoloni tumefanya uvumbuzi upi?... je uvumbuzi huo unafanana na teknolojia walizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.