Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,827
Vya ndizi, ugali au wali ?Pesa wapiii? Wakati viporo
Vya ndizi, ugali au wali ?Pesa wapiii? Wakati viporo
Nilisema.....ambae sio mjingaWaziri wa mambo ya inside.
Wali marageVya ndizi, ugali au wali ?
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]kuna nduguyako anacho nn naana shindia pingl pngl
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
AiseeWali marage
Kwani interior affairs minister ni mjinga ?Nilisema.....ambae sio mjinga
Duuh... mtumbo kama ananyea humo humo aiseeNikwel ukiwa nakitambi lazima uwe na pesa au japo kagari kaku buluzikia etView attachment 1134411
[emoji23][emoji23][emoji23]baba akoDuuh... mtumbo kama ananyea humo humo aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbee na ww unatambua hilooAisee
wali mandondo utamu wake unazidi hata usingizi wa asubuhi.
Hahahaha... mkuu babangu hali chips wala virost rost hawezi kuwa na hilo tumbo[emoji23][emoji23][emoji23]baba ako
Hiv hua inatokeatokeaje paka mtu anadeposit mafuta kiasi hicho?[emoji1][emoji1][emoji1] ukikamua hapo unajaza KIMBO 7.5 za fat [emoji23][emoji23]Nikwel ukiwa nakitambi lazima uwe na pesa au japo kagari kaku buluzikia etView attachment 1134411
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiv hua inatokeatokeaje paka mtu anadeposit mafuta kiasi hicho?[emoji1][emoji1][emoji1] ukikamua hapo unajaza KIMBO 7.5 za fat [emoji23][emoji23]
Natambua mkuu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbee na ww unatambua hiloo
Wewe wasemaKwani interior affairs minister ni mjinga ?
Sawa mkuuWewe wasema