Recent content by kadulyu

  1. kadulyu

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    Mi kwa mtazmo wangu, muungwana hupinga hoja kwa hoja na si hoja kwa kashifa au tusi. Tuwaacheni waendelee kutafuta katiba mpya na baada watatuletea rasimu ya pili ya katiba.
  2. kadulyu

    Kwa nini kina dada(mabinti) wa sikuhizi mnapenda sana pesaa! Mnatia aibu aisee

    Kwakweli inakatisha tamaa kabisa kwa sasa, hasa kwa vijana ambao hatujaoa ni nadra sana kumpata msichana mwny upendo wa dhati! Dah!
  3. kadulyu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ndo hivyo hatukuwa na usajili mzuri, na timu yetu ndo hiyo tujipange msimu ujao wa ligi!
  4. kadulyu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwangu mimi buyern kuifunga man u ni sawa na mbuzi kumuuma mtu
  5. kadulyu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Karibuni wana chelsea kwny mazishi ya buyern munchen yatakayofanyika kwny makaburi ya nymbni kwao Leo hii!
  6. kadulyu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Man u 1-buyern 0
  7. kadulyu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Congraturation the blues you are the good representative in bpl!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  8. kadulyu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hongera the blues
  9. kadulyu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mi pia ckuamini ,ah! Mourinho noma, na alianza kwa kuongea kuwa anashinda .
  10. kadulyu

    House girl huyu nimfanyajee...?

    Huenda ulimtoa kijijini na hukumpa semina khusu matumizi ya vitu vya umeme so don't lament!
  11. kadulyu

    Hivi ni sawa wazazi kuoga pamoja bafu la nje?

    Ni sawa acha wale bata,jali yako!
  12. kadulyu

    Tanzania haimo kati ya Majeshi Imara zaidi kati ya Nchi 7 Afrika-Kenya Yatupiku

    You ar talking things that u havent ani evidence, acha hizo jwtz kuwa imara ulitaka lifanye nin ndo ujue kama ni imara? Jeshi imara ni lile linalohakikisha nchi ina amani muda wote
  13. kadulyu

    Hivi kwa nini mwanaume hariziki na mwanamke mmoja

    Heshima cku hizi kwa mke ni ziro so if itakuwa hivyo kila cku mme anatoka nje
Back
Top Bottom