Mi kwa mtazmo wangu, muungwana hupinga hoja kwa hoja na si hoja kwa kashifa au tusi. Tuwaacheni waendelee kutafuta katiba mpya na baada watatuletea rasimu ya pili ya katiba.
You ar talking things that u havent ani evidence, acha hizo jwtz kuwa imara ulitaka lifanye nin ndo ujue kama ni imara? Jeshi imara ni lile linalohakikisha nchi ina amani muda wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.