Kujua formulars na functions muhimu ambazo zinaweza kuwa zinatumika kila siku kama ni sehemu ambayo mtu anafanyia kazi..Angalau uifahamu canvas ya excel..kuelewe kufanya manipulation ndogo ndogo za kujumlisha,kutoa,kugawanya, kutoa.
Na baadhi ya formula muhimu.
GIS Ipo kwenye kila field..Assume umegundua mabaki ya Dianasour kwenye pori fulani utahitaji uionyeshe kwenye ramani kwa kutumia mifumo ya kijografia hapo GIS inaingia moja kwa moja.
Raha ya kumiliki ardhi uwe hata na karamani uchwara tu 😀😀😀
Mtu anitumie coordinates ni mchoree ramani ya eneo lake Bure leo Leo.
Application ya kuchukua coordinates apakue Play Store inaitwa My GPS location angalau apate coordinates kwenye Kila kona.
Ili kupata ukubwa wa eneo Kwa uhakika ni kutumia GPS upate Coordinates ambazo zitaingizwa kwenye software za kucholea ramani kama QGIS,arcGIS au nyingine hapo utapata chochote unachohitaji mfano ukubwa wa eneo, muinuko,slope, contour na vingine vingi kadri ya mahitaji yako.
Mfano hiyo ramani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.