Recent content by kadoboy

  1. kadoboy

    JamiiForums Tanzania Treni ya abiria( express) yakwama kazuramimba

    Acha kuwalisha watu matango pori.Express haijakwama siku nne kama unavyosema,imeingia Kazuramimba leo alfajiri na imesimama kutokana na treni ya mazigo/Goods kuangusha behewa eneo la mbele kama unaelekea Kigoma mpaka muda huu abiria wote tumeshaondoka kwa magari kuendelea na safari TRL walitoa...
  2. kadoboy

    JamiiForums Tanzania Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Mkuu huwa unapotea sana hadi uzi wetu unapoa.
  3. kadoboy

    JamiiForums Tanzania Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Dragoon naomba G. N NO_320 of 1964.
  4. kadoboy

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa wamwera wa Lindi na mikoa yake

    Kulikuwa hakuna ng'ombe enzi hizo, tukiona ng'ombe tunamuita n'dudu, mnyama pekee alikuwa kondoo, nguruwe na mbwa. Mwenye nguruwe akitaka kuchinja watu wanaandikisha kwanza majina wiki moja kabla sasa itokee bahati mbaya akatishe Nyani au Tumbili katikati ya Kijiji, kijiji chote kitasimama na...
  5. kadoboy

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa wamwera wa Lindi na mikoa yake

    Mimi natoka kijiji cha Ntila, zamani ilikuwa ukipeleka pesa ya hodi/kishika uchumba umeoa tayari unapewa mke hakuna haja ya mahali na ukiachana na mke unaidai pesa ya hodi/kishika uchumba ulioitoa na unalipwa.
  6. kadoboy

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mbunge wa Songea Mjini, Leonidas Gama(CCM) afariki dunia

    Namkumbuka sana akiwa DC wilayani Nachingwea ,alikuwa bonge la kiongozi R. I. P Mzee Gama.
  7. kadoboy

    JamiiForums Tanzania Wanaume mnaoingia chumvini hata bomu mnaweza kumeza

    Huko vizuri mkuu
  8. kadoboy

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kweli: Mpaka kieleweke

    Imetulia xana
  9. kadoboy

    JamiiForums Tanzania Polisi anayedaiwa kumuua mwenzake asakwa kwa dau

    R. I. P mpiganaji wetu.
Back
Top Bottom