jabir chilumba
Member
- Sep 12, 2016
- 9
- 1
Wanawake ndiyo sana, kwa wanaume inatokea mara chache hasa kwa nchi zenye rabsha kama hizo. Kama unataka yakukute tafuta naye pesa alafu mwanamke afahamu mipango yako! UNAKUFA MAPEMAAAAA...
Mimi tu ndo malaikaWanaume mashetani Tu Tena zaidi ya shetani mwenyewe
Wanaume mashetani Tu Tena zaidi ya shetani mwenyewe
unawatusi wote kabisa!Wanaume mashetani Tu Tena zaidi ya shetani mwenyewe
Ata baba yako ni shetani unajisikia aje kuwa mtt wa shetaniWanaume mashetani Tu Tena zaidi ya shetani mwenyewe
MUNGU HANA JINSIA!Mungu ni mwanaume.... Yesu na Mtume ni wanaume.
Shauri zako!
Mungu ni Baba.MUNGU HANA JINSIA!
Acha kumtukana baba yakoWanaume mashetani Tu Tena zaidi ya shetani mwenyewe
Bora ungetulia tu... ukute unagegedwa Sana na hao wanaume afu ndo uwaite shetanWanaume mashetani Tu Tena zaidi ya shetani mwenyewe
ata wewe ni shetani kama wanaume wote shetani maana baba yako pia shetani.mtoto wa nyoka ni nyoka
Wanaume mashetani Tu Tena zaidi ya shetani mwenyewe
Huyo mwanaume ana roho ya kuua kabisa inamfuatilia. Kaua mke na mtoto huko Congo then now anataka kumuua mke wa pili?Waliokodiwa walikuwa ni wahalifu lakini si wauwaji na pia walikua wanafahamiana na kaka wa huyo dada halafu mumewe sababu aliyowapa wale wahalifu ya kumuua mkewe ni kuwa anahisi atatoroka na mwanaume mwingine. Na huyo mumewe kabla ya kwenda Australia huko kwao Congo aliua mke na mtoto.
mimi ni mwanaume sio shetani bali ni malaikAWanaume mashetani Tu Tena zaidi ya shetani mwenyewe
Wanaume mashetani Tu Tena zaidi ya shetani mwenyewe
Wanawake ndo mashetani na wakatili balaa. Kuua mwanaume ni kitu cha kawaida. Kuua mtoto wa kambo jambo la kawaida. Ushetani mwingi duniani unaanzia kwa wanawake.Wanaume mashetani Tu Tena zaidi ya shetani mwenyewe
Nimeipenda hiiShetani babako