Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,658
Ndio mpendwa, fanya mpango wa kuninusuru na hii njaa niliyonayo😉Mhh...mpendwa lina ukweli hili
Ndio mpendwa, fanya mpango wa kuninusuru na hii njaa niliyonayo😉Mhh...mpendwa lina ukweli hili
Hahaha, nalinda heshima za wakwe aisee, si unajua mahari nililipa nusu na sina mpango wa kumalizia.Jina la. Kanda ya mlima sio Kg hahhah
Acha kuwalisha watu matango pori.Express haijakwama siku nne kama unavyosema,imeingia Kazuramimba leo alfajiri na imesimama kutokana na treni ya mazigo/Goods kuangusha behewa eneo la mbele kama unaelekea Kigoma mpaka muda huu abiria wote tumeshaondoka kwa magari kuendelea na safari TRL walitoa nauli kwa abiria wote wenye tiketi.Treni ya express iliyokua inatoka moro kwenda kigoma imekwama eneo la kazuramimba siku ya nne leo..abiria wamekwama siku ya nne leo bila taarifa yoyote,abiria wakosa vyakula,wagonjwa na watoto wakosa huduma muhimu kwa siku mbili sasa,treni ulitakiwa itumie siku mbili kufika kigoma mjini.
Naona mmoja wa wahusika wa treni unajitetea hapa, ungesikiliza clouds saa nne hata abairia walihojiwa kabisaAcha kuwalisha watu matango pori.Express haijakwama siku nne kama unavyosema,imeingia Kazuramimba leo alfajiri na imesimama kutokana na treni ya mazigo/Goods kuangusha behewa eneo la mbele kama unaelekea Kigoma mpaka muda huu abiria wote tumeshaondoka kwa magari kuendelea na safari TRL walitoa nauli kwa abiria wote wenye tiketi.
Unafika mjini kwa sh4 au 5 elfu tuKazuramimba mbona ni karibu sana na kigoma, maana unakuwa umeishapita uvinza. Yaani hapo ndo watu wakae siku nne.Waambie watafute namna ya kufika kigoma. hata kwa hiace unafika vizuri tu
Zimepanda mpaka shilingi ngapi, elfu 10?Wanasema warudishiwe nauli..haice zimeona fursa unaambiwa nauli zimepanda maradufu
Vizuri sana kwa usahihiAcha kuwalisha watu matango pori.Express haijakwama siku nne kama unavyosema,imeingia Kazuramimba leo alfajiri na imesimama kutokana na treni ya mazigo/Goods kuangusha behewa eneo la mbele kama unaelekea Kigoma mpaka muda huu abiria wote tumeshaondoka kwa magari kuendelea na safari TRL walitoa nauli kwa abiria wote wenye tiketi.
Wale wanajuana wenyewe nadhani aliyewacheleweshea miundombinu bora alijua anachokifanya na umuhimu wake kwa ustawi wa taifa
Kuwa na ADABU....!
...Mkuu, treni ya Express kutoka Dar kwenda Kigoma ni Siku Mbili. Mkitoka Dar Jumatatu mnafika Kigoma Jumanne.Yaani kutoka Moro mpaka Kigoma tena kwa treni ya express inachukua siku mbili. Duh!
Vipi kama treni haitakuwa express?
Huu ni umaskini wa kupita maelezo.
Bora mkoloni arudi tu.