Recent content by Kachina95

  1. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Wakati mwingine hizi dini zinatumika vibaya

    Wanajukwaa, 1.nimeshuhudia viongozi wa dini wakikemea zinaa na kusifia mauaji. Uhuni sio uhuni? 2. Waislamu walijinadi kuwa dini yao ni dini ya haki, baada ya kuona uvunjwaji wa haki umetamalaki na wao hawawezi kukemea, hivi sasa wanajiita dini ya amani, hawataki tena haki. Wahuni sio wahuni? 2...
  2. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Ndicho kinachonikuta kwa mama yangu
  3. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Kwanza kabisa ujue sipo nyumbani. Baba baada ya kuzidiwa na vimbwanga vya mother aliondoka akaenda kuoa mke mwingine akajenga na akaendelea na maisha yake! Mama tangu auze mali zote na kuenda kutoa zote kanisani, hadi leo amekuwa ni mtu wa kutangatanga tu, sisi watoto ilibidi tulelewe na ndugu...
  4. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Brother, unanibishia mhanga wa ulokole?
  5. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Sure!
  6. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Dah! Hatari sana kaka
  7. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Wewe ni moja ya mfano wa walokole waliochanganyikiwa
  8. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Wanajukwaa sina mengi ya kueleza, lakini itoshe kusema hawa watu wanaosali makanisa ya kilokole kwa asilimia kubwa wanamatatizo makubwa ya afya ya akili! Mama yangu ni mlokole, Imagine back then 1998 aliachana na baba sababu baba kakataa kuokoka, baba kafanyiwa matukio mpaka akakimbia familia...
  9. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Syst Nyahoza hausikii kauli za wana CCM kutoka Zanzibar?

    Wanaozitamka ni makada wa CCM na kwakauli zao wanavunja sheria ya vyama vya siasa
  10. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Syst Nyahoza hausikii kauli za wana CCM kutoka Zanzibar?

    Namkumbisha msajiri wa vyama vya siasa jaji Mtungi na msaidizi wake bwana Nyahoza kuchukua hatua za haraka sana kukiandikia barua chama cha mapinduzi CCM. Hii nikutokana na kauli mbali mbali zinazotolewa na makada wake wazanzibari zinazohamasisha ubaguzi dhidi ya watanganyika waishio Zanzibar...
  11. Kachina95

    JamiiForums Tanzania NAOMBA TOFAUTI KATI YA UTAWALA WA CCM NA UTAWALA WA MKOLONI MWEUPE

    Wana jamvi, naomba mnisaidie tofauti ya CCM na makaburu walau kwa mambo yafuatayo; 1. Ni jambo gani baya sana mkoloni mweupe alitufanyia watanganyika ambalo CCM hajatufanyia? 2. Ni mambo gani mazuri CCM inafanya ambayo mkoloni alishindwa kutufanyia mpaka ikatubidi kumfukuza? Binafsi maswali haya...
  12. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Swali; Lipi baya mkoloni alitutendea watanganyika, CCM hawajatutendea?

    Wanajukwaa nina maswali machache hapa naomba msaada tafadhali: 1. Yapi mabaya tuliyotendewa na wakoloni na hatutendewi na CCM? 2. Yapi mema ambayo CCM wanafanya, mkoloni hakuyafanya? 3. Mkoloni alitunga sheria kandamizi na akazifuata, kwanini CCM hata sheria zao kandamizi wanazivunja ili tu...
  13. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Watanganyika bado mnataka Muungano eh? Someni hapa chini?

    Ngoja chawa waje
  14. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Tanzania (Tanganyika) tumekubali Samia kupendelea kuharibu ustawi wa nchi yetu kwa maslahi yake binafsi?

    Yaani ametumia majambazi kuteka ndugu zetu, kupoteza na kuua. Kafanya yote haya akiamini kesho atatudanganyishia na matundu ya vyoo tuwasahau ndugu zetu atutawale? Anatuona wendawazimu au?
Back
Top Bottom