Wanajukwaa nina maswali machache hapa naomba msaada tafadhali:
1. Yapi mabaya tuliyotendewa na wakoloni na hatutendewi na CCM?
2. Yapi mema ambayo CCM wanafanya, mkoloni hakuyafanya?
3. Mkoloni alitunga sheria kandamizi na akazifuata, kwanini CCM hata sheria zao kandamizi wanazivunja ili tu...
Yaani ametumia majambazi kuteka ndugu zetu, kupoteza na kuua.
Kafanya yote haya akiamini kesho atatudanganyishia na matundu ya vyoo tuwasahau ndugu zetu atutawale?
Anatuona wendawazimu au?
Unajua changamoto za waalimu zinazosababishwa na serikali pamoja na jamii?
Next time unapoongelea waalimu kuwa na adabu mpumbavu wewe!
Kama shida ni hilo toto lako lipumbavu lipeleke private mshenzi mbinuko we!
Kwahiyo mheshimiwa waziri mpaka hapa huoni haja ya kupelekwa mswada wa marekebisho ya Sheria ya ndoa bungeni ili pia mwanaume atandewe haki mbele ya Sheria?
Mmetunga Sheria kwa mihemko mkiwa na malengo ya kutukomia wanaume, wanaume wameumizwa na Sheria zenu tu the point of no return! Bado huoni...
Nimesoma ujumbe wako, nimefuatilia mtiririko wa comments zako, uko too biased, very judgemental, yaani tayari umesha conclude wanaume wanamatatizo na WA awake ni saints!
Wewe ni mwanaume?(Namaanisha wewe ni baba?)
Kama jibu lako ni hapana, basi nikuambie punguza kiherehere!
Matatizo yote...
Ile siku ya majonzi na vimbwanga kwa kada dhoofu ualimu imefika.
Waalimu watasombwa kama mihogo wakiwa na matishirt yao ya CWT wakiwa wamepauka na kukomdeana, wataandaliwa lisala ya kumsifia mama weeee!
Baada ya hapo watarudishwa kwao wakiwa wamejazwa kwenye malori kama matahila.
Mwendo ule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.