Recent content by Kachina95

  1. Kachina95

    Swali; Lipi baya mkoloni alitutendea watanganyika, CCM hawajatutendea?

    Wanajukwaa nina maswali machache hapa naomba msaada tafadhali: 1. Yapi mabaya tuliyotendewa na wakoloni na hatutendewi na CCM? 2. Yapi mema ambayo CCM wanafanya, mkoloni hakuyafanya? 3. Mkoloni alitunga sheria kandamizi na akazifuata, kwanini CCM hata sheria zao kandamizi wanazivunja ili tu...
  2. Kachina95

    Tanzania (Tanganyika) tumekubali Samia kupendelea kuharibu ustawi wa nchi yetu kwa maslahi yake binafsi?

    Yaani ametumia majambazi kuteka ndugu zetu, kupoteza na kuua. Kafanya yote haya akiamini kesho atatudanganyishia na matundu ya vyoo tuwasahau ndugu zetu atutawale? Anatuona wendawazimu au?
  3. Kachina95

    Dkt. Aaron Mujajati: Ni ngumu kwa mwanamke kupata watoto baada ya miaka 35

    I feel your pain, hongera sana kwa kujitambua, simamia maono yako, you're the change, be the change you want to see! But nakuomba msamehe tu mzee
  4. Kachina95

    KERO Headmaster shule ya Sekondari Maji ya Chai-Arumeru hafiki kazini. Walimu wengine nao hawafundishi

    Unajua changamoto za waalimu zinazosababishwa na serikali pamoja na jamii? Next time unapoongelea waalimu kuwa na adabu mpumbavu wewe! Kama shida ni hilo toto lako lipumbavu lipeleke private mshenzi mbinuko we!
  5. Kachina95

    GE2025 Kesi ya Dk Malisa dhidi ya CCM yasogezwa hadi Agosti 19

    Mahakama ya mama, majaji wa mama, wanasikiliza kesi dhidi ya mama! patamu hapo! wacha tuone
  6. Kachina95

    Kwanini serikali isianzishe Sheria ya kupima DNA bure mara baada ya mwanamke kujifungua?

    Dkt. Gwajima D njoo huku na kisirani chako, maana unatuonaga wanaume kama misukule
  7. Kachina95

    Jamii tuzungumze kuhusu baadhi ya wababa na matunzo kwa watoto

    Kwahiyo mheshimiwa waziri mpaka hapa huoni haja ya kupelekwa mswada wa marekebisho ya Sheria ya ndoa bungeni ili pia mwanaume atandewe haki mbele ya Sheria? Mmetunga Sheria kwa mihemko mkiwa na malengo ya kutukomia wanaume, wanaume wameumizwa na Sheria zenu tu the point of no return! Bado huoni...
  8. Kachina95

    Mkutano Mkuu wa CCM Taifa ndio chombo cha Juu zaidi Tanzania kinachoweza kubadili au kubatilisha matumizi ya katiba yake au hata katiba ya nchi

    Unajua maamuzi ya mkutano mkuu wa chadema? What is going on kwa chadema na Msajiri wa vyama vya siasa? Tuseme ukweli tu
  9. Kachina95

    Jamii tuzungumze kuhusu baadhi ya wababa na matunzo kwa watoto

    Nimesoma ujumbe wako, nimefuatilia mtiririko wa comments zako, uko too biased, very judgemental, yaani tayari umesha conclude wanaume wanamatatizo na WA awake ni saints! Wewe ni mwanaume?(Namaanisha wewe ni baba?) Kama jibu lako ni hapana, basi nikuambie punguza kiherehere! Matatizo yote...
  10. Kachina95

    WALIMU: Kutokana na Wasilisho la PolePole, huu Ndio Msimamo wetu

    Jambo Moja ninauhakika nalo, wewe sio mwalimu
  11. Kachina95

    Ile siku ya majonzi na vimbwanga kwa kada dhoofu ualimu imefika

    Ile siku ya majonzi na vimbwanga kwa kada dhoofu ualimu imefika. Waalimu watasombwa kama mihogo wakiwa na matishirt yao ya CWT wakiwa wamepauka na kukomdeana, wataandaliwa lisala ya kumsifia mama weeee! Baada ya hapo watarudishwa kwao wakiwa wamejazwa kwenye malori kama matahila. Mwendo ule...
Back
Top Bottom