Recent content by kaburungu

  1. kaburungu

    JamiiForums Tanzania HOJA Wanafunzi wa Udaktari St. Francis Referral Hospital kuzuiwa kuwa na simu kwa Saa 10 hadi 11 si jambo zuri

    Mkurugenzi mkuu sio Padre ni mwanajeshi, huyu bwana amekuja na sera zake ikiwemo hilo la kuzuia matumizi ya simu. Hapo St. Francis kwa sasa pamekuwa pa hovyo, malalamiko ni mengi. Taasisi inaendeshwa kijeshi, camera kila kona.. kule ghorofani kwenye ofisi ya mkurugenzi ana screen kubwa...
  2. kaburungu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitamani kuoa kamwe wala kuwa na mchumba kamwe maisha yangu yote

    Bila shaka utakuwa Gen-Z, kila la kheri kwenye utekelezaji wa maamuzi yako mapya.
  3. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Mnaokulaga “vichwa” njiani wakati wa kusafiri, hivi hamuoni ni high risk?

    Ni kweli risk ipo, kama ilivyo kwenye vitu vingi maishani. Ila sio kila anayebeba watu anaishia kwenye hayo unayosema. Inategemea na mtu mwenyewe anavyo handle situation, na pia ukumbuke maisha yote hayawezi kuendeshwa na what if...
  4. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Mnaokulaga “vichwa” njiani wakati wa kusafiri, hivi hamuoni ni high risk?

    Mimi nawabeba sana na hiyo risk hata siiwazi, wakati mwingine nawabeba ajili ya company nipate wa kupiga nao story na wakati mwingine nawabeba ajili ya zuchu. Ila nawabeba sana tu.
  5. kaburungu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najua watu wataniona mjinga ila Lamine Yamal is talented than Lionel Messi

    Yamal anaweza kuwa next big thing, lakini Messi si kipimo cha kipaji tu bali ni kipimo cha kipaji kilichothibitishwa kwa muda mrefu.
  6. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anavyojenga Diplomasia ya uchumi kwa weledi mkubwa

    Nimeisoma hoja yako, lakini kuna mambo muhimu yanahitaji kuwekwa sawa ili tusichanganye takwimu na tafsiri ya mafanikio. Kwanza, ni kweli biashara kati ya Tanzania na Kenya imeongezeka, lakini ukiangalia hizo namba zako mwenyewe: Kenya inauza zaidi kwetu kuliko sisi tunavyouza kwao. Hii ina...
  7. kaburungu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Suala la watu kufia majumbani Kwa kukosa matibabu kutokana na ukata ni tatizo kubwa kwa sasa

    Uko sahihi kabisa, hata nchi zilizoendelea bado zinapambana na universal health care. Ila hiyo isiwe sababu ya sisi kukata tamaa, bali iwe motivation ya kuboresha mfumo wetu taratibu. Hizi changamoto za bima kuwa na mipaka zinaonyesha wazi bado kuna gap, labda solution iwe kupanua coverage ya...
  8. kaburungu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Suala la watu kufia majumbani Kwa kukosa matibabu kutokana na ukata ni tatizo kubwa kwa sasa

    Hii ni hali ya kusikitisha sana, na siyo isolated case ni uhalisia wa watu wengi. Kuona mtoto wa miaka 11 anapoteza maisha kwa kukosa vipimo au mzee anategemea mchango wa mtaa ili apate matibabu inaumiza sana. Lakini tukubali pia kuwa hii siyo tatizo la mtu mmoja mmoja, ni tatizo la mfumo...
  9. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    ... naongeza na betting
  10. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Trump asitisha shambulio zito dhidi ya Iran dakika za mwisho! Vita kusitishwa kwa Wiki mbili. Nini kinaendelea na nani Mshindi?

    Unajua mambo mengine yanashangaza ni kama dini X inafurahia madhila wanayopata watu wa dini Y, na kinyume chake. Kama tunataka mjadala uwe na maana, turudi kwenye facts na analysis, sio imani binafsi. Haya mambo hayaendeshwi na nani ana dini gani. Ukileta dini kwenye mjadala wa siasa za...
  11. kaburungu

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Mkuu, hoja yako inaonekana imejengwa juu ya mkanganyiko wa misingi ya physics. Kwanza, suala la Dunia kuonekana imetulia kwenye video si ushahidi kwamba haizunguki, bali ni matokeo ya relative motion. Kamera ya chombo cha anga na Dunia viko kwenye mfumo mmoja wa mwendo, hivyo mabadiliko ya...
  12. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Iran yakataa usitishaji vita wa muda uliopendekezwa na wapatanishi wa Pakistan

    Kusema USA anaogopwa na dunia nzima ni overstatement. Ukweli ni kwamba USA ana nguvu kubwa ya kijeshi na ushawishi wa kimataifa, lakini nchi kama Iran, China, Korea Kaskazini na Russia bado zinampinga wazi wazi. Hivyo si sahihi kusema ni hofu, bali ni strategic caution, nchi nyingi zinapima...
  13. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Vita kusimama muda wa siku 45

    Chanzo ni credible lakini taarifa yenyewe bado ni source-based, sio official confirmation. Kwa mtizamo wangu diplomacy ya aina hii huwa na leaks nyingi kabla ya makubaliano rasmi. Pia historically Marekani na Iran hutumia Oman au Qatar kama mediators, sio Pakistan pekee. Kwa hiyo hii ni...
  14. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Ingizo jipya JF: Ni nani na nani wanatamba kwa sasa?

    Umekataa ushauri, shauri yako. Mkataa pema... 🤣
  15. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Ingizo jipya JF: Ni nani na nani wanatamba kwa sasa?

    Twende PM nikakupe mawaidha hii sio sawa hakyanani 🤔
Back
Top Bottom