Recent content by kaburungu

  1. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Heshima yako mkuu... 1982 hata sikuwepo duniani..damn!!! kumbe hii forum iko na malegendi.
  2. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Wakati wa bunge la bajeti sijui kama bado linaendelea sababu sina interest na bunge. Mbunge Msukuma alilalama sana kuwa barabara zina hali mbaya nchi nzima. Sasa kuna kipande kama ambavyo umeweka kwenye hii clip kipande chenyewe ni kuanzia Mpwapwa kuelekea Iringa kupitia Mtera,tena hata kabla...
  3. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Watu wamejimaliza sana kumpa pesa ya hongera Zuchu, sasa je mkiwa na majambo yenu mnatarajia naye atafanya hivyo?

    Safi kabisa chief, mitano tena 💥👊🏽
  4. kaburungu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Heche Ahojiwe, Hakuna Kinga kwa Ufisadi

    Masikitiko na fedheha basi tu
  5. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Azam fc kubaki na Fei Toto ni hasara kwao kuliko faida

    Hapana hayo ni maoni yake binafsi asipuuzwe. Ni kama wewe navyoheshimu comment yako.
  6. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake ni shida sana

    Unajua kauliza kwa sababu gani? Kuna uzi memba kaanzisha kadai wewe na Chizi maarifa mmepigwa ban. Walozi wengi humu https://www.jamiiforums.com/threads/chizi-maarifa-kala-ban-nawapongeza-mods-kuanza-kugawa-ban-jukwaani.2454693/
  7. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Kifahari Kwenye Magari ya Umma, Huku Familia Ikisugua Benchi

    Kabisa kuna mmoja alikuwa na V8 bado kidogo tupigane pasi na yeye ndio mwenye makosa, wako rough sana
  8. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Kifahari Kwenye Magari ya Umma, Huku Familia Ikisugua Benchi

    Ukiendesha gari Dodoma utaona uhalisia wa hawa madereva. Picha linaanza ni kama muda wote wao wanataka kuwahi, kutanua na kukuflash ili umpishe. Sina haja na maisha yao binafsi kero yangu kubwa ni kuona wao ndio wana haki ya kuendesha vile wanavyotaka na sio sheria za barabarani zinavyoelekeza...
  9. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Ngoma ya AliKiba mac muga ilikua na video iliyokua mbele ya muda sana

    Only this 🤔
  10. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Yanga yatozwa Tsh. Milioni 100 kwa kutumia nyumba ya mtu binafsi badala ya vyumba rasmi vya kubadilishia nguo

    Hata iwe B haifanyi kolo kuwa bingwa
  11. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Yanga yatozwa Tsh. Milioni 100 kwa kutumia nyumba ya mtu binafsi badala ya vyumba rasmi vya kubadilishia nguo

    Na bado nini Yanga bingwa kaa kwa kutulia
  12. kaburungu

    JamiiForums Tanzania South Africa anaenda kufuzu hatia ya 16 Leo usiku

    Mkuu kwenye buld up kipa anatakiwa kuanzishisha shambulizi la haraka anavyochelewa kuanzisha mpira anatoa nafasi kwa wapinzani kujipanga na kuziba mianya ya kupeleka shambulizi hata la kushtukiza. Haya ndio makosa yenyewe, lakini hata refa wa jana hakuwa na msisitizo sana kuangalia...
Back
Top Bottom