Recent content by kaburungu

  1. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Usianze ujenzi kama hujafahamu haya machache

    Mkuu uko sahihi lakini 85% ya waliojenga hawakufuta hii ramani yako nikiwemo mimi.
  2. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Unaweza ila akicheki kwenye user ambao wako registerd atagundua hao uliowa hotspot anawaondoa kisha anabadili nywila. Akibadili nywila na kwako inakata utamrudia tu. Kwenye biashara kulipa hili sijui kwa sababu sijawahi kufanya hiyo biashara.
  3. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Oukey hili sikua nalitambua mkuu, asante kwa taarifa
  4. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Au vile ni pocket WiFi ndio maana unauza 140K kuna zile router nilinunua kwa 105K nailipia 70K iko safi tu speed nzuri kwa matumizi
  5. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Hivi duniani kuna mdudu msumbufu kama KUNGUNI?

    Nachojua anaweza kuishi muda mrefu sana hata asipopata damu
  6. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Heshima yako mkuu... 1982 hata sikuwepo duniani..damn!!! kumbe hii forum iko na malegendi.
  7. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Wakati wa bunge la bajeti sijui kama bado linaendelea sababu sina interest na bunge. Mbunge Msukuma alilalama sana kuwa barabara zina hali mbaya nchi nzima. Sasa kuna kipande kama ambavyo umeweka kwenye hii clip kipande chenyewe ni kuanzia Mpwapwa kuelekea Iringa kupitia Mtera,tena hata kabla...
  8. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Watu wamejimaliza sana kumpa pesa ya hongera Zuchu, sasa je mkiwa na majambo yenu mnatarajia naye atafanya hivyo?

    Safi kabisa chief, mitano tena 💥👊🏽
  9. kaburungu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Heche Ahojiwe, Hakuna Kinga kwa Ufisadi

    Masikitiko na fedheha basi tu
  10. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Azam fc kubaki na Fei Toto ni hasara kwao kuliko faida

    Hapana hayo ni maoni yake binafsi asipuuzwe. Ni kama wewe navyoheshimu comment yako.
  11. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake ni shida sana

    Unajua kauliza kwa sababu gani? Kuna uzi memba kaanzisha kadai wewe na Chizi maarifa mmepigwa ban. Walozi wengi humu https://www.jamiiforums.com/threads/chizi-maarifa-kala-ban-nawapongeza-mods-kuanza-kugawa-ban-jukwaani.2454693/
  12. kaburungu

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Kifahari Kwenye Magari ya Umma, Huku Familia Ikisugua Benchi

    Kabisa kuna mmoja alikuwa na V8 bado kidogo tupigane pasi na yeye ndio mwenye makosa, wako rough sana
Back
Top Bottom