Mkuu, swali lako lina msingi mzuri lakini lina assumption ambayo si sahihi kidogo.
Kwanza kabisa, NATO ilianzishwa mwaka 1949. Hii ina maana kwamba kabla ya hapo kulikuwa na vita nyingi ambazo Marekani ilipigana na kushinda bila uwepo wa NATO.
Mfano rahisi ni Mexican-American War na...
Nakubaliana kabisa mkuu, hasa hiyo point ya clear objectives na exit strategy — mara nyingi hiyo ndiyo inatofautisha kati ya military action na strategic success.
Na kama ulivyosema, hizi complications za kiuchumi na nishati zinaonyesha kwamba vita za kisasa zina ripple effects kubwa sana...
Point nzuri sana mkuu, hasa hiyo ya kuhusisha kauli ya Mattis na hali halisi ya Strait of Hormuz. Inaonyesha vizuri kwamba athari za vita haziishii kwenye battlefield tu, bali zinaweza kuathiri hata mifumo ya kiuchumi na usafirishaji wa kimataifa.
Hiyo pia inaongeza uzito kwenye ile hoja kwamba...
Mkuu, with all due respect, nimeona umeirejea ile hoja ya mwanzo kuhusu comparison ya Vietnam na Iran, na nakubaliana na wewe kwamba si sahihi kuzifananisha moja kwa moja kwa kila kipengele.
Hata hivyo, lengo la kuleta ule mfano halikuwa kusema mazingira yanafanana, bali kuonyesha kuwa katika...
Ni point nzuri kwamba wakati mwingine mkakati wa vita unaweza usionekane mapema, hasa kama ni wa muda mrefu.
Lakini pia kuna hoja ya Mattis kwamba hata kama strategy ipo, inapaswa kuwa na dalili fulani zinazoonyesha direction (kama malengo ya wazi au hatua zinazoeleweka).
Swali linabaki je...
Nimeipenda sana hii point ya Mattis kwamba vita bila mkakati ni upumbavu, kwa sababu mara nyingi watu wanaangalia nguvu ya kijeshi pekee bila kujiuliza mwisho wa hiyo vita ni nini.
Ukiangalia historia ya migogoro mingi (hasa Middle East), changamoto kubwa si kuanza vita bali ni namna ya...
Fikiria unavyotaka wewe mkazi wa Sikonge kwa namna ipi? Kusema nayafahamu maeneo ya Sikonge na viunga vyake ndio inakuwa ithibati ya mimi kuwa mkazi.
Haya sawa mimi ni mkazi wa Sikonge, hapo vipi.
Sikonge nimesoma Mbirani Primary japo sikumaliza hadi la saba. Enzi hizo kuna kipindi maji yanakuwa ya shida tunaenda kukinga maji pale madukani kwa Hemed Nassoro tajiri na mmiliki wa bus za Sabena.
Huyu tajiri kuna baadhi ya watoto wake nilisoma nao enzi hizo, naemkumbuka kwa urahisi ni binti...
Mkuu Malcom Lumumba, unaandika kwa confidence na unaweka mifano ya kihistoria, lakini kuna sehemu muhimu unachanganya.
Kwanza, kutumia mfano wa Vietnam kuelezea hali ya sasa ya Marekani dhidi ya Iran si sahihi moja kwa moja. Vietnam ilikuwa vita ya ground occupation kwa muda mrefu, wakati hii...
Nadhani kuna haja ya kuangalia hii vita kwa upana zaidi, si kwa upande mmoja tu, kama alivyochagua mleta mada.
Ni kweli Israel na Marekani wana uwezo mkubwa wa kufanya mashambulizi ya haraka na yenye precision, na hilo halina ubishi. Lakini hilo peke yake halitoshi kusema wameimaliza au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.