Wakati wa bunge la bajeti sijui kama bado linaendelea sababu sina interest na bunge. Mbunge Msukuma alilalama sana kuwa barabara zina hali mbaya nchi nzima.
Sasa kuna kipande kama ambavyo umeweka kwenye hii clip kipande chenyewe ni kuanzia Mpwapwa kuelekea Iringa kupitia Mtera,tena hata kabla...
Unajua kauliza kwa sababu gani?
Kuna uzi memba kaanzisha kadai wewe na Chizi maarifa mmepigwa ban.
Walozi wengi humu
https://www.jamiiforums.com/threads/chizi-maarifa-kala-ban-nawapongeza-mods-kuanza-kugawa-ban-jukwaani.2454693/
Ukiendesha gari Dodoma utaona uhalisia wa hawa madereva. Picha linaanza ni kama muda wote wao wanataka kuwahi, kutanua na kukuflash ili umpishe.
Sina haja na maisha yao binafsi kero yangu kubwa ni kuona wao ndio wana haki ya kuendesha vile wanavyotaka na sio sheria za barabarani zinavyoelekeza...
Mkuu kwenye buld up kipa anatakiwa kuanzishisha shambulizi la haraka anavyochelewa kuanzisha mpira anatoa nafasi kwa wapinzani kujipanga na kuziba mianya ya kupeleka shambulizi hata la kushtukiza.
Haya ndio makosa yenyewe, lakini hata refa wa jana hakuwa na msisitizo sana kuangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.