Recent content by kabuga

  1. K

    Kwanini enzi zako hujawapa ardhi arumeru.MKAPA ACHA KUTUPIGA SOUND.

    Alisha jenga ile daraja la Mbutu kule Igunga?
  2. K

    Duh! Kumbe Iddi Simba ndiye mwenyekiti wa 'Wazee wa Dar es Salaam'?

    Walaaniwe na MUngu, maana bila hata aibu mijamaa inainuka eti Bwana Yesu asifiwe
  3. K

    Duh! Kumbe Iddi Simba ndiye mwenyekiti wa 'Wazee wa Dar es Salaam'?

    Wakuu ilikuwa siku nyingi nikijiuliza hivi hawa watu wanaojiita wazee kama sio viraza wanaongozwa na nani, kumbe mwizi na mtuhumiwa ufisadi ile sakata la sukari na sasa insu nzima ya UDA ndugu Iddi Simba sasa ndie anasimama nakuanza kuwahukumu madactari wetu wazalendo, kwahili siungi mkono...
  4. K

    Picha: Dr.Slaa ampokea Prof. Lipumba kiaina

    umenipotezea muda
  5. K

    Bado natafakari kauli ya Malima kwamba zile silaha ni mtaji mkubwa wa maisha!

    Huyu jamaa mzinzi sana, kilijikunja kutoa ile kitu, basi kilicho fuata ni kukoroma, na kahaba hakufanya kosa kasepa na mamilioni, angekuwa mwizi kitu cha kwanza ingekuwa kuchukua hizo siraha kwanza, hata sura inaonesha kuwa jamaa anaweza kuwa jambazi au na ushirikiano nao
  6. K

    Sitta atakumbukwa kwa lipi Urambo?

    wanajijua wenyewe
  7. K

    Wanaoutafuta urais kwa udi na uvumba ni hatari kwa taifa

    Ndugu angu, unacho kisema ni sawa kabisa, lakini kumbuka wengi wameingia madarakani kama rais wa Senegal lakini wakaibadilisha hiyo katiba na sasa wameufanya kama mali zao. Binafis hadi sasa sielewi LOWASA anamalengo gani na huo uraisi, yaani haiingii akilini mutu kakalia kupanga mipango ya...
  8. K

    Ni zipi Kazi za msajili wa vyama hapa Tz

    kutongoza tubinti
  9. K

    Mgogoro mkubwa waikumba CHADEMA kwenye kumpata mgombea ubunge Jimbo la Arumeru

    Mleta taarifa mnafiki sana mbona watuletea habari za kipuuzi, na umeianzia katikati anza mwanzo, na kijana hajagawa pesa kama magamba,unless kajipange upya
  10. K

    Mtatiro akosa watu mkutanoni Igunga

    Mkuu hukuwa makini kuna jamaa alikuwa ammechuchumaa pale mbele kwaeli alikuwa akimonesha alama hiyo bwana mtatiro
  11. K

    Uzalendo Umemshinda Dr. Hamisi Kigwangallah!

    Du! nimeipenda sana hiyo, kumbe Tambwe hizza naye mtu yupo bado, mbona hajawashauri ccm waache kuwapokonya wachimbaji wadogo sehemu zao huko Nzega, ila mimi nahisi huyu jamaa,japo ni dr.kuna mbegu ya Tambwe hizza ilitumika
  12. K

    Polisi wasalimu amri warudisha Bendera ya CDM Tunduma!

    Haka kajamaa kanazululam sana inabidi karudi dar mapema, kuanzia Tanga,Ruvuma, Pwani, Rukwa, Katavi, nasasa Mbeya,inakera na bado hajatatua hata tatizo moja pamoja na ziara hizi zote
  13. K

    Kimbelembele cha CHADEMA kimewatokea puani

    WEWE NI MB...........................U.............................Z.................................I.angea point na si razima upost kama huna la kutujuza, we tulia soma point za wenzio, kuku wewe,nitakuoereka maswa ukalime pamba
  14. K

    Siasa zahusishwa vurugu za RUVUMA

    we ni gamba kubwa nimekufuatilia tokea asubuhi kwenye michango yako hakika we ni gamba uchwara
Back
Top Bottom