Wakuu ilikuwa siku nyingi nikijiuliza hivi hawa watu wanaojiita wazee kama sio viraza wanaongozwa na nani, kumbe mwizi na mtuhumiwa ufisadi ile sakata la sukari na sasa insu nzima ya UDA ndugu Iddi Simba sasa ndie anasimama nakuanza kuwahukumu madactari wetu wazalendo, kwahili siungi mkono. Naomba maoni yenu kuhusu huu ujinga wa kikundi fulani cha wezi kukaa na kujiita wazee wa dar, na kuanza kuwahukumu madacatri wetu, wakati hao wanao jiita wazee ndio wengine wamepora nyumba ambazo madactari wangekaa, KWAHILI NIMEUMIA SANA