Mtatiro akosa watu mkutanoni Igunga

Nadhani ajitotokeze aseme "Igunga wapemba na waislamu ni wachache sana, so obviously nilijua siwezi kupata watu, ila nilifanya mkutano kupata posho tu"
 
wa2 walikuwa kama 60 hivi! Nilichoona ni baadhi yao kuonyesha alama ya v inayo2miwa na chadema!
 
Nimeona kwenye kituo cha tv cha mlimani Julius Mtatiro akihutubua mkutano wa hadhara igunga ni aibu hakuna watu kabisa zaidi ya watu ambao wanaonekana ni wapita njia hawakuwa na mpango wa na mkutano huku vijana wakionyesha vidole alama ya V inayotumiwa na chama cha CDM.

mtatiro ni msomi wa UDSM anayekiabisha Chuo.
 
Cuf hakiji juu kabisa kwa speed anayodhania Ntatiro..ameacha kwenda Arumeru kisa ni kuachia wapinzani wengine..Mmi niseme wameogopa aibu itakayowapata mara ya 3 baada ya Igunga na Uzini
 
Nimeona kwenye kituo cha tv cha mlimani Julius Mtatiro akihutubua mkutano wa hadhara igunga ni aibu hakuna watu kabisa zaidi ya watu ambao wanaonekana ni wapita njia hawakuwa na mpango wa na mkutano huku vijana wakionyesha vidole alama ya V inayotumiwa na chama cha CDM.

Kwani wao kwao huku?! Waende Zanzibar kwa wabaguzi wenzake kwani bara hawana chao tena zaidi ya chama Lao Hilo linalojifia.
 
Back
Top Bottom