kaka mm mbona sikuona hyo alama ya vidole?
Mkuu hukuwa makini kuna jamaa alikuwa ammechuchumaa pale mbele kwaeli alikuwa akimonesha alama hiyo bwana mtatiro
kaka mm mbona sikuona hyo alama ya vidole?
kijana naona unaita watu mwilini unahimili vishindo lakini?Mawaidha na Quotes za Basalleh
Nimeona kwenye kituo cha tv cha mlimani Julius Mtatiro akihutubua mkutano wa hadhara igunga ni aibu hakuna watu kabisa zaidi ya watu ambao wanaonekana ni wapita njia hawakuwa na mpango wa na mkutano huku vijana wakionyesha vidole alama ya V inayotumiwa na chama cha CDM.
kaka mm mbona sikuona hyo alama ya vidole?
mtatiro ni msomi wa UDSM anayekiabisha Chuo.
una uhakika mkuu? Pamoja na tbc kukwepesha kamera lakini tanga watu wamejaa sana.
Believe me, that day is coming!
Ilionekana dhahiri labda kama ulisinzia...tena walijaa watotokaka mm mbona sikuona hyo alama ya vidole?
Nimeona kwenye kituo cha tv cha mlimani Julius Mtatiro akihutubua mkutano wa hadhara igunga ni aibu hakuna watu kabisa zaidi ya watu ambao wanaonekana ni wapita njia hawakuwa na mpango wa na mkutano huku vijana wakionyesha vidole alama ya V inayotumiwa na chama cha CDM.
CUF inajali quality na siyo quantity kwa sasa..
Wishful thinking. Igunga, Uzini, Arumeru?
CUF inajali quality na siyo quantity kwa sasa..