Kwani maisha magumu yameanza leo kwanini hujiulizi huu upepo wa hisia umetoka wapi na nani kausababisha maana hata upepo una chanzo chake usifikiri huwa unavuma tu pila kuwa na msukumo (pressure).naomba kufahamishwa vema ni kweli hayo yanayotokea kulingana na uzi inamaanisha kuwa chadema wanakubalika sana?
napata shida kuamini kuwa ni kweli cdm imekubalika katika sehemu nyingi za tanzania,,,,,, je kama ni upepo na hisia tu hizo za maisha magumu?
Kama ni Polanium 210 suala la kupona ni la kumwachia Mungu, ila kama kweli ikitokea CCM nyanda za Juu hasa Kyela inakazi pevu ukiongezea na afya ya Mwandyosa.Na bado... Serikali ya sisiem inabidi ibebe jukumu la kuhakikisha kwa vyovyote vile Mwakyembe anapona. Ikitokea vinginevyo sijui huko nyanda za juu kusini itakavyo kuwa. Ulishawahi ona mchawi akikabidhiwa mtoto? Ndio hii issue ya Mwakyembe kwa sisiemu.
.
Kama ni Polanium 210 suala la kupona ni la kumwachia Mungu, ila kama kweli ikitokea CCM nyanda za Juu hasa Kyela inakazi pevu ukiongezea na afya ya Mwandyosa.
mkuu ilikuwa lazima warudishe sababu moja sehemu hiyo ndo ngome ya chadema pili hilo shina lilifunguliwa na makam mgombea uraisi chadema 2010 na ilikikua pembeni ya jukwaa la makam rais taifa hoja yao ni kwamba mbona kipindi amekuja nahodha waziri bendera hazikutolewa za ccm iweje leo za chadema zing'olewbHongera makanda wa Tunduma kumbe nguvu ya uma haishindwi kitu
mkuu bora wangeiba sehem nyingine sio pale.pale ndio top kwa chedema mbozi mashariki pale ndipo walipo wafadhili wa chadema wapigania chadema na mashabiki wa chadema wa ukweliHivi kazi ya polisi ni kuiba bendera za vyama vya siasa?
No, wasilipwe mishahara kwa kodi za wananchi.......too low yet again.
Shughuli za kiserikali na kushusha bendera za vyama wapi na wapi hivi mnafikiri bado mko enzi ya chama kimoja eee!!!Kwa stil hii ya uchama badala ya utaifa sijui tunaelekea wapi!!!!!!!!!!!!!!! Kwani makamu wa rais ameenda kutafuta kura au ameenda kwa shughuli za kichama au ameenda kiserikali? Kama ni kanda kwenye kampeni za uchaguzi au kwenye shughuli za kichama basi wanahaki ya kufanya kilichofanywa ila kama ameenda kwenye shughuli za kiserikali hilo ni jambo la mhemuko na lisilokubalika maana uchaguzi ushapita na ccm ndiyo iko madarakani sasa kama hatuitaki tufanye mapinduzi na siyo kuzomea au kufanya ujingaujinga usio na maana.
Shughuli za kiserikali na kushusha bendera za vyama wapi na wapi hivi mnafikiri bado mko enzi ya chama kimoja eee!!!