Recent content by kabogo matagi

  1. K

    Ajali ya basi la New Force ilivyokatisha ndoto za maisha na uchumba wetu

    nimejaribu kuvaa viatu vyako.....nimeshindwa MUNGU ni mkuu sana kifo kina wivu kinatuchkulia wapendwa wetu tunaowahitaji.....mimi ni dhaifu cjui ningefany nn
  2. K

    Kwanini wanaume ni wagumu kusamehe?

    kusamehe ni mtihani mgumu kuliko somo la mathematcs
  3. K

    Kumbe Kanali wa Jeshi ni cheo kikubwa kuliko cheo cha IGP

    japo sina uelewa mkubwa sana na mambo ya kieshi lakini ni mfatiliaji mkubwa sana kwa kifupi cheo cha IGP KIPO RANK SAWA na mnadhimu wa jeshi ambaye ni luteni jeneral
  4. K

    Ajali ya basi la New Force ilivyokatisha ndoto za maisha na uchumba wetu

    ardhi inameza watu sana nimesoma nimesisimuka afu kiasema ingekuwa mimi jeh? pengine ningekufa kwa kihoro
Back
Top Bottom