my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,402
- Thread starter
- #21
Wana ego kubwa sana. Wanahisi wao kucheat n sawa lakini kwa wanawake sio sawa.Wanaume hawana Mungu hawa ndani yao ndio mana hawasamei
Wana ego kubwa sana. Wanahisi wao kucheat n sawa lakini kwa wanawake sio sawa.Wanaume hawana Mungu hawa ndani yao ndio mana hawasamei
Jamaa katoa mfano wa Simba akionja nyama ya mtu dawa ni kumuua tu so mwanamke akicheat hakuna njia zaidi ya kumuacha tu sio hivyo ulivyoelewa yaani mwanamke akicheat auwawe si wangebaki vibibi vizee tu nchi nzima maana vijana wote tungewaua kiukweli!Hamna lolote ni ego tu inawasumbua. Kwahiyo mwanamke akicheat adhabu yake ni kuuliwa? Na mwanaume akicheat adhabu yake ni nini?
Umewahi kujiuliza kwa nini mwanamume anaweza kuoa wake zaidi ya mmoja wakati mwwnamke hilo haliwezekani? Ukipata hilo jibu ndio utajuaHamna lolote ni ego tu inawasumbua. Kwahiyo mwanamke akicheat adhabu yake ni kuuliwa? Na mwanaume akicheat adhabu yake ni nini?
Sio kweli, habari ya mwanamke kuwaza hivyohivyo ni uongo.Na mwanamke pia huwa anawaza hayo yote na bado anasamehe. Kama unajuwa huwezi kusamehe basi na wewe usiwe unaomba msamaha kwa kile unajuwa ungekuwa wewe usingesamehe.
Hakuna bahati mbaya kwenye usaliti hata kwa wanaume, na pia unanidanganya sana tu, mwanamke anayempenda mwanaume wake atacheat sababu ya hela tofauti na hapo yupo na huyo mwanaume kwa sababu fulani either wengine hawakuwa waoaji so alihitaji tu ndoa lakin hakua anampenda au huyo mwanaume kwenye game yupo vibaya na hata hili huwa wanalivumilia sana tu kama anakupenda, yaani inshort mwamke atacheat kwa sababu fulani lakin kiukweli wanaume mara nyingi tuna cheat bila sababu yoyoteHata wanawake ni hivyo sio kila anaecheat hampendi mwenzake wakati mwingine huwa inatokea tu kama bahati mbaya
Hapana adhabu sio kuuliwa bali kuachwa koz anakuwa amemdharau sana mwanaume wake,Hamna lolote ni ego tu inawasumbua. Kwahiyo mwanamke akicheat adhabu yake ni kuuliwa? Na mwanaume akicheat adhabu yake ni nini?
Wanawake mara nyingi husamehe kama mwanaume amecheat halafu wanaweza kuendelea na mahusiano na huyo mwanaume aliyemcheat kama kawaida bila tatizo.
Husamehe kutoka moyoni. Lakini tofauti na wanaume. Wao inakuwa sio rahisi kusamehe hata uombe msamaha vipi. Na akikusamehe basi ujue atakuja kurevenge au atakuwa mtu wa visa kibao bila sababu.
Kwanini wanaume wagumu sana kusamehe kosa la kucheat? Tatizo ni nini?
Yeah ndo uumbaji ulivyo kweli hata kama tutahangaika kupinga ila ndivyo ilivyo by natureThe Game is over .
Wanawake mara nyingi husamehe kama mwanaume amecheat halafu wanaweza kuendelea na mahusiano na huyo mwanaume aliyemcheat kama kawaida bila tatizo.
Husamehe kutoka moyoni. Lakini tofauti na wanaume. Wao inakuwa sio rahisi kusamehe hata uombe msamaha vipi. Na akikusamehe basi ujue atakuja kurevenge au atakuwa mtu wa visa kibao bila sababu.
Kwanini wanaume wagumu sana kusamehe kosa la kucheat? Tatizo ni nini?
Sasa kwanini na wewe ucheat?ukumbuke kuwa yeye ndie alieanza kuumbwa kabla ya mwanamke,halafu yeye ndiye aliekuoa,halafu pia yeye ndio kichwa ndani ya nyumba kwahiyo lazima aonyeshe ugumu kidogo ili usiweze kurudia tena kosa.Ila saa nyingine mjue kuwa huwa mnatukwaza sana...Wanawake mara nyingi husamehe kama mwanaume amecheat halafu wanaweza kuendelea na mahusiano na huyo mwanaume aliyemcheat kama kawaida bila tatizo.
Husamehe kutoka moyoni. Lakini tofauti na wanaume. Wao inakuwa sio rahisi kusamehe hata uombe msamaha vipi. Na akikusamehe basi ujue atakuja kurevenge au atakuwa mtu wa visa kibao bila sababu.
Kwanini wanaume wagumu sana kusamehe kosa la kucheat? Tatizo ni nini?
Sasa wao wanajuwa vipi kama umesalitiwa kama hujawaambia? Hamna siri ndio maana mnaishi kwa kuogopa watu.
Wewe ulicheat kwa sababu zipi za msingi??Wanawake mara nyingi husamehe kama mwanaume amecheat halafu wanaweza kuendelea na mahusiano na huyo mwanaume aliyemcheat kama kawaida bila tatizo.
Husamehe kutoka moyoni. Lakini tofauti na wanaume. Wao inakuwa sio rahisi kusamehe hata uombe msamaha vipi. Na akikusamehe basi ujue atakuja kurevenge au atakuwa mtu wa visa kibao bila sababu.
Kwanini wanaume wagumu sana kusamehe kosa la kucheat? Tatizo ni nini?